Sifa 5 za rais wa Mabeberu

Sifa 5 za rais wa Mabeberu

Joined
Feb 13, 2013
Posts
46
Reaction score
27
1. Anaishi karibu sana na Mabeberu.

2. Anaenda nchi za Mabeberu.

3. Anategemea uungwaji mkono wa kisiasa na Mabeberu.

4. Anahisi Mabeberu ndio watu wakuleta maendeleo.

5. Siasa zake sio za maendeleo.
 
Kwa vile atakukoromea mara ukubali ushoga mara usifanye kile haya ndo yataondoa umasikini?
Anakupa vimisaada vya shuli ma vyoo badala ya kutengeneza viwanda ili upate ajira?
Hawawezi tengeneza viwanda kwenye Sera za kijamaa ni kurisk mtaji.
Ushoga upo kwenye Jamii zote hata kwa Siri.
Hatuna uwezo wa kujenga vyoo kuonewa huruma si mbaya kuwasaidia wahitaji
 
Back
Top Bottom