Sifa gani ziinatakiwa kujiunga na A-Level mwaka huu 2015?

Sifa gani ziinatakiwa kujiunga na A-Level mwaka huu 2015?

Chamlile A

Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
8
Reaction score
1
Ndugu WanaJamiiForums,

Nnaombeni msaada kwa anae jua sifa za kujiunga na form five na six kwa matokeo ya mwaka huu ya BRN big result now maana yananichanganya.

Wadau kwa anae jua naomba ufafanuzi.
 
Sifa ya kujiunga na A' level(serikalini au binafsi) ni kua 3 credits. Credit ni alama angalau C, kama ilivyotajwa kwenye muongozo wa NECTA.

Kutokana na idadi kubwa ya vijana wa BRN kufaulu,wapo wataokosa nafasi za kuchaguliwa kujiunga na shule za serikali. Wenye poits nyingi kwenye mchepua husika ndio wataochaguliwa kwanza, wengine mtafuata kwa utaratibu huo huo.

Ushauri: kama unajua una C zako 3 tu, wewe anza kutafuta private school.
 
Back
Top Bottom