Sifa gani zinaonesha ubora wa elimu?

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Habari za leo tena wanajukwaa?
Kutokana na malalamiko mengi ya ubovu wa elimu Tanzania je ni kweli elimu ya tanzania haikidhi mahitaji? Na ni zipi sifa za elimu bora? Je hizo sifa hazipatikani Tanzania? Vipi kuhusu juhudi znazoendelea kufanyika, BRN kuna matunda yoyote ya kauli mbiu hii? Nini kifanyike kuboresha elimu ya tanzania ? Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…