Nawaandikieli
Member
- Aug 20, 2021
- 9
- 2
Simba wamezoea na wachambuzi uchwara kama kina shaffii,Edgar nk.Imekuwa kila kukicha tunaelezwa uzoefu wa mwalimu mpya wa klabu ya Simba kwamba ametokea katika kufundisha timu kubwa na kwamba anafahamiana na walimu wengi na wakubwa katika mataifa ya nje. Swali langu ni je; sifa na umaarufu wa mwalimu huyo unamchango gani kwa klabu ya Simba?
View attachment 2004012
kuchukua kocha mzuri na kupata mafanikio ni vitu viwili tofauti. kocha ni mzuri ndiyo na ndio maana anasifiwaSimba wamezoea na wachambuzi uchwara kama kina shaffii,Edgar nk.
Watamsifia kocha mpaka mtaamini kuwa sasa simba itachukua caf champions cup.
Wanajifanya wanujua mpira kuliko mpira wenyewe unavyojijua.
Wanaishi kiujanja ujanja sana
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hajawahi hata kuwa mpanga koni, ni uwongo mtupu, huo mtandao hata wewe leo ukiwa na account unupdate hizo data unaandika aliwahi kuwa kocha msaidizi wa Liverpool.Huyu alikuwa mpanga koni wakati wa Mazoezi Real Madrid.View attachment 2005612
Ubaya wa Makocha hawa wenye CV kubwa ukimzingua kidogo na huu uswahili wetu anawatema dakika 0.Imekuwa kila kukicha tunaelezwa uzoefu wa mwalimu mpya wa klabu ya Simba kwamba ametokea katika kufundisha timu kubwa na kwamba anafahamiana na walimu wengi na wakubwa katika mataifa ya nje. Swali langu ni je; sifa na umaarufu wa mwalimu huyo unamchango gani kwa klabu ya Simba?
View attachment 2004012