Sifa inayohitajika kwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ni zipi?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kinahitaji Mkuu wa Chuo baada ya aliyekuwepo kumaliza muda wake 05/01/2012. Sheria inaruhusu Mkuu wa Chuo aliyemaliza muda wake kuteuliwa tena ingawa ameomba tena hata hivyo amekuwa akiumwa mara kwa mara. Kwa wadau mnaoifahamu Chuo hicho kinahitaji Mkuu wa Chuo mwenye sifa zipi? Ushauri wenu utasaidia mamlaka ya uteuzi kuzingatia hoja zenu.
 
Sifa mojawapo...awe kada wa chama tawala(sidhani kama hiyo sifa imeshatolewa)...mengine ni taaluma zaidi....wenye nayo wayamwage hapa tujifunze!!
 
Sifa mojawapo...awe kada wa chama tawala(sidhani kama hiyo sifa imeshatolewa)...mengine ni taaluma zaidi....wenye nayo wayamwage hapa tujifunze!!

Umenena Mkuu kwa kuwa Vyuo vingi hapa Nchini vinaongozwa na wakuu Makada wa Chama tawala wakati vyuo si vya Chama. Hii inaweza kuwa sababu inayorudisha nyuma elimu yetu ya vyuo vikuu kwa kuingiza siasa zaidi kuliko ujuzi wa kitaaluma.
 

kwani aliyepo aliajiriwa kwa vigezo vipi?
 
mAGOTI NI KADA ALIYEBOBEA KATIKA CHAMA.HIYO NI SIFA NAMBA MOJA KWA YEYOTE ANAYETAKA KUWANIA NAFASI HIYO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…