Uchaguzi 2020 Sifa Kuu Tano (5) za Bernard Kamillius Membe Zinazoonesha kwamba hafai kuwa Rais wa Nchi

KUMDUKUA MTU NI KOSA KISHERIA.NI TABIA ZA UMBEA NA USHAMBA MKUBWAA
 
Kwaiyo Jiwe ndo anafaa kuongoza hii nchi miaka 10.?

Watz wengi hasa Maficcm ni wapuuzi sana! Kuna Jambo liko wazi kabisa....Kati ya JPM na BCM kuwa BCM(Bernad Camilius Membe) ana sifa bora za Uongozi kuliko Magufuli.

  1. BMC ni Mwanadiplomasia wa Kimataifa wakti JPM ni mbumbumbu.
  2. BMC ni kachero mbobezi ilhali JPM hajui lolote kuhusu Hilo.
  3. BMC ana uzoefu katika Mahusiano ya Kimataifa kuliko JPM.
  4. BMC ana uzoefu kazini kuliko JPM.
  5. BMC anatema 'yai" au slang vizuri sana kuliko JPM.
  6. BMC ametembelea nchi za nje nyingi Sana wakti JPM hajakanyaga hata nji moja.
  7. BMC ana exposure kubwa Kimataifa ilhali JPM hana hiyo exposure hata kidogo!
 


Membe anategeme kuloga...wakati sisi tunamtegemea Mungu! Nani aongozwe na na mlozi tena aliye katwa mkia?
 
Nimelazimika kukuita we ni mpumbafu kabisa maana unalopoka tu bila mantiki! Tupe faida moja tu kwa taifa ambayo huyo mkatwa mkia wako ameliletea faida ktk nyazifa alizolitumikia n Mimi nikuletee achievement 10 za Magu! Hakuna nchi ya kuuzwa Tz, huyo mkatwa mkia mwambie ajiuze mwenyewe kwa hao waliomfadhiri! Tz kwa Sasa Ina mwenyewe...na halali!
 
Kuda wakutembeza bakuli na kulitukanisha taifa umepita kitambo Sana...habari ya mjini kwa Sasa ni kujitegemea! N kuwafanya wao ndio waje kututembelea...watufuate wao!
 
Mnamwanzishia uzi mtu ambae hajachukua fomu.....Happ kwene sheria umekosea mkuu maana tume bado haijatangaza siku mwezi Wala tarehe ya uchaguzi
 
Mimi hata nikipewa milioni siwezi kumpa kura BM nikaacha kumpa JPM, lakini ukweli lazima usemwe kwamba kimsingi Membe kwenye sauti ile hakufanya kosa lolote la kustahili kuomba radhi.
Ipo wazi kabisa Mzee Kinana, Nape Nnauye na Ngeleja walimkosea sana Mh.Raisi kwenye sauti zile. Tena washukuru sana walitenda vile kwa kiongozi wa Tanzania ya amani. Ingekuwa nchi nyingine sasa tungeongea mengine.
Sijaona kosa la Yusuf Mzee Makamba kwenye kauli zake katika zile sauti.

Alichofanya Membe ni kulalamikia au kuhoji tu, tena bila lugha ya kashifa na dharau.
Memne hafai kabisa kuwa raisi kwa sababu zingine lakini si kwa kipengele hiki nilicho kunukuu.
 
Ipi Kati ya hizi itabadili maisha ya watanzania na kujenga uchumi?
 

NIMENOTE TUKISHINDA UCHAGUZI SISI MAFISIM NAKUFUNGULIA THREAD YA KUKUCHAMBA
 
Una tafuta rais wamataifa au rais wa Tanzania ?
 
Ni kwa nini tunamjadili Membe ambaye hajachukua hata fomu badala ya kuwajadili waliochukua fomu tayari?
 
Kuna mwanasiasa asiye mnafiki? Mhodhi wa Mali? Mpenda sifa? Mwongo? Siku moja Shangazi Fatma Karume aliuliza hivi ni lazima mwanasiasa awe mwongo? Aliuliza hivyo kwa sababu mwanasiasa akiulizwa I say mbona ulipoulizwa ulijibu kama sivyo? Atakujibu “Ni siasa tu hujui” kwa hiyo siasa Tanzania imebadilishwa kuwa uwongo na mambo yote Haya!!!!! Ainu! Ndiyo maana NYU anahama tu chama kwa kuwa tu upande fulani kuna dola itakayomhakikishia Kushinda Kitu fulani !! Shame on them! Sijui watanzania ni kwa nini kwenye kura zetu tusiweke tu 00000 kwa wote tuone watafanya nini!
 
Kwa hiyo hizo sifa za membe ndo zinatuletea maendeleo nchi ? Mwacheni Baba jeska apge kazi hyo exposure ya kimataifa ya membe wala haitusaidii ktu wa tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…