Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
1)WANAAMINI KABILA LAO NDIO BORA KULIKO YOTE
Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu huyo ni jeuri/kiburi pia ana dharau.
2)WANAJIAMINI SANA
Ni watu wanaojiamini sana hususani sehemu za kazi,wakipewa jukumu fulani kulifanya wanafanya kwa kijiamini sana na huwa hawapendi kuingiliwa 'as long as umempa afanye kitu fulani wanaamini kuwa umemchagua/umemteua yeye sababu unaamini kuwa anaweza kufanya kitu hicho so asiingiliwe mpaka amalize.
3)WANAPENDA ATTENTION
Ni watu wanaopenda sana kuonekana kwa kile wanachokifanya,yaani wanapenda kuonekana na kuthaminiwa kwa kile wanachokifanya na sio zaidi ya hapo tofauti na makabila mengine.
4)NI WACHAPA KAZI
Ni watu wanaojituma sana katika kufanya kazi,mara zote huwa hawapendi kuonekana kazi fulani imewashinda kufanya kwasababu wao wanaamini kuwa kushindwa kuperform vizuri kitu ulichoaminiwa ni AIBU na UDHAIFU mkubwa sana katika maisha.
5)WAKARIMU
Ni watu walioumbwa na karima ya hali ya juu,yaani wanapokea mtu yoyote hata kama hawajui alikotokea ndio kitu kilisababisha mpaka kukawa na matukio ya ajabu ajabu sababu ukarimu huo watu wenye nia mbaya waliutumia katika kufanyia maovu yao.
6)WANASUBIRA
Ni watu ambao hawana papara,huwa hawapendi kukurupuka kwa kitu chochote,wanapenda kungojea mpaka mpaka wapate hali halisi ya kitu chenyewe ndio wafanye maamuzi.
SIFA ZA ZIADA
a)UTANASHATI
UTANASHATi na usafi ni sifa nyingine muhimu kwa kabila hii. Waweza fika kijijini ukakuta bibi na kijumba chake lakn vyombo vyake viko safi kabisa. Wawezakupataka chungu anachopikia usipate masizi.
b)HAKI NA SHERIA
Wanyakyusa kwa malezi yao WANAPENDA HAKI NA KUFUATA SHERIA.
C)UMOJA
UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja, Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja (INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja (ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha kwa umoja wao sherehe inafana.
===================
Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu huyo ni jeuri/kiburi pia ana dharau.
2)WANAJIAMINI SANA
Ni watu wanaojiamini sana hususani sehemu za kazi,wakipewa jukumu fulani kulifanya wanafanya kwa kijiamini sana na huwa hawapendi kuingiliwa 'as long as umempa afanye kitu fulani wanaamini kuwa umemchagua/umemteua yeye sababu unaamini kuwa anaweza kufanya kitu hicho so asiingiliwe mpaka amalize.
3)WANAPENDA ATTENTION
Ni watu wanaopenda sana kuonekana kwa kile wanachokifanya,yaani wanapenda kuonekana na kuthaminiwa kwa kile wanachokifanya na sio zaidi ya hapo tofauti na makabila mengine.
4)NI WACHAPA KAZI
Ni watu wanaojituma sana katika kufanya kazi,mara zote huwa hawapendi kuonekana kazi fulani imewashinda kufanya kwasababu wao wanaamini kuwa kushindwa kuperform vizuri kitu ulichoaminiwa ni AIBU na UDHAIFU mkubwa sana katika maisha.
5)WAKARIMU
Ni watu walioumbwa na karima ya hali ya juu,yaani wanapokea mtu yoyote hata kama hawajui alikotokea ndio kitu kilisababisha mpaka kukawa na matukio ya ajabu ajabu sababu ukarimu huo watu wenye nia mbaya waliutumia katika kufanyia maovu yao.
6)WANASUBIRA
Ni watu ambao hawana papara,huwa hawapendi kukurupuka kwa kitu chochote,wanapenda kungojea mpaka mpaka wapate hali halisi ya kitu chenyewe ndio wafanye maamuzi.
SIFA ZA ZIADA
a)UTANASHATI
UTANASHATi na usafi ni sifa nyingine muhimu kwa kabila hii. Waweza fika kijijini ukakuta bibi na kijumba chake lakn vyombo vyake viko safi kabisa. Wawezakupataka chungu anachopikia usipate masizi.
b)HAKI NA SHERIA
Wanyakyusa kwa malezi yao WANAPENDA HAKI NA KUFUATA SHERIA.
C)UMOJA
UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja, Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja (INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja (ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha kwa umoja wao sherehe inafana.
===================
Mgawanyiko wa Wanyakyusa
Wanyakyusa toka zamani walijulikana kama watu wa Konde. Wengi walikuwa kaskazini kwa ziwa Nyasa, lakini katika harakati za maisha na mabadiliko ya mazingira wengi wao wakakimbilia Mbeya mjini na sehemu nyingine.
Pamoja na hayo, hasa Wanyakyusa wapo wa aina mbili nao ni Wanyakyusa wa Tukuyu na Wanyakyusa wa Kyela.
Sifa za Wanyakyusa wa Kyela
1. Wengi si wapole mtu afanyapo kosa
2. Wacha Mungu
3. Wanajua kupenda
4. Hawapendi dharau
5. Wanapenda kujulikana (hasa kama wamesoma hadi kupata digrii n.k.)
6. Wapiganaji sana kimaisha
7. Wana wivu katika masuala ya mapenzi
8. Wanapenda haki itendeke, hawapendi ubabaishaji
9. Ni watu shupavu sana kwenye kazi za kujitolea hasa za kijamii
Sifa za Wanyakyusa wa Tukuyu
1. Wapole
2. Wacha Mungu
3. Wanajua kupenda
4. Hawapendi dharau kabisa
5. Wanajituma kwenye kazi, hasa kilimo
6. Wana wivu sana
7. Wanapenda haki itendeke na hawapendi ubabaishaji
8. Ni watu jasiri na wasioogopa vitisho
9. Ni werevu
hii imetoka wikipedia http://sw.wikipedia.org/wiki/Wanyakyusa