Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

Mtoa mada amewalemba sana watu hawa,lkn mapungufu yao wanyakyusa hakuyasema,nae sijui ni mwana wa kyusa,lkn wana wa kyusa wanasifika kwa,kwa !?
 
so unatushauri tuinvest kwa wanyakyusa sasa? naona kama wasukuma wanatolewa sokoni taratibu.
 
Mbona nasikia eti ukitaka demu wa kinyakusa akupe mambo mpaka umpige ngwara!
 
Hata chui akionewa, basi atetewe.
Kuchuna ngozi sio sifa ya Wanyakyusa.
Kwa ujumla wanyakyusa si makatili...ni Wakarimu sana.

Wanaochuna ngozi ni kabila kutoka Wilaya ya Mbozi, wanaitwa Wanyiha, a.k.a akina "Tumgoje...Tumleshe"


Nakata rufaa naomba heshima SIREDI irudi mahali pake hapa tulikuwa tunaongelea wanyakyusa sasa WANYIHA WAMEINGIAJE HUMU NDANI? sidhani kama uchokozi na uchongezi ni tabianzuri PJ wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????????????????
 
Nakata rufaa naomba heshima SIREDI irudi mahali pake hapa tulikuwa tunaongelea wanyakyusa sasa WANYIHA WAMEINGIAJE HUMU NDANI? sidhani kama uchokozi na uchongezi ni tabianzuri PJ wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????????????????
kwani mbozi wapo watu wa kabila gani?
 
Nasikia wanaume wa Kyela ni ma handsome sana eti wana macho mazuri sana..........mfano Mwakyembe, Mwamnyange, Edgar Fongo na Francis Kifukwe.....hii niliisikia pale Ngonga
 
i have fallen in love with your comment ghafla mkuu PakaJimmy.
Hata chui akionewa, basi atetewe.
Kuchuna ngozi sio sifa ya Wanyakyusa.
Kwa ujumla wanyakyusa si makatili...ni Wakarimu sana.

Wanaochuna ngozi ni kabila kutoka Wilaya ya Mbozi, wanaitwa Wanyiha, a.k.a akina "Tumgoje...Tumleshe"
 
Last edited by a moderator:
Silipo sya naloli papo silipo sya bhutungulu bhakukaja mulipoooooo
 
Hiyo ya kupenda sifa inaonekana imegusa wengi, lakini ni tabia ya binadamu ya asili kupenda kukubalika. Labda kama wanyakyusa hawajaificha kama wengine wanaojifanya wanachukulia poa lakini moyoni wanataka sifa
Mwaikambo na Amon Nsekela ni wanyakyusa wa wapi?
 

Na pia yawezekana wanaozungumziwa ni wangonde wa malawi wenye sifa hizo as nao wanatumia lugha hii itumiwayo TZ. Maana naona wenye aleji na wanyakyusa washaanza kumwagia vinyesi sredi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…