Sifa mbaya za makabila yetu

Mkuu! Kabila gani linakuwaga huko Rukwa maana sijaona sifa yao. Na nasikia it is very danger!
Kabila kubwa ni wafipa, lakini kuna makabila mengine madogomadogo kama vile wabende. Hakuna danger yoyote ni wakarimu sana kwa wageni na zaidi ni wachapa kazi, karibu sana mkuu!
 
Kabila kubwa ni wafipa, lakini kuna makabila mengine madogomadogo kama vile wabende. Hakuna danger yoyote ni wakarimu sana kwa wageni na zaidi ni wachapa kazi, karibu sana mkuu!
Thankx Best!!
 

13.Warangi-Malaya,Roho mbaya,Hawapendani,Wapenda Dhuluma. 14.Wagogo-Wavivu,Wachafu,Ombaomba,Wezi,Jeuri,
 
Kabila moja linaitwa Waswahili wao kazi yao ni kukaa vibarazani mchana kutwa, kucheza bao na kunywa kahawa. Wanawake zao ni kusukana, umbea, majungu, kusutwa kwao suna na kufikiria kumpa tigo mumewe ili adate
 

Umesahau Wakwere kuchekacheka na majungu.
 
Wakurya mnawaonea tu siku hizi watanzania wote makatili kwasababu ya ugumu wa maisha
 
Wameru washamba, kitu kikipitwa na wakati kwao ndio kinakuwa dili.
 
Ninachofurahi tu ni kwamba tutaoana tutazaana na itafikia siku ukabila utakua hauna maana!
 
Do!!!!!!!!!! takwimu hizo zinaonyesha asilimia za makabila ya tanzania ni;

40% wavivu ( hawapendi kazi )
30% wachawi
15% umalaya
10% ukabila
5% wakatili
 

1. Wameru?
2.Wambulu?
3.Warangi?
4.Wajalio?
5.Wakwere?
6.Waha..................Majivuno na Ubishi.
7.Makabila yakaayo Unguja na Pemba tuambieni habari zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…