Mark waliyokua wahusika wengi wanatoka eneo gani ili ujue watu gani wako mbele kugombea madaraka nchini hata ikibidi kutumia nguvu
Kila nikiiangalia Sura ya Marehemu Balozi Dkt. Mahiga naona alitakiwa kuwa ndiye Rais wa Tanzania na angetufaa vyema sana.
Usimuone vile vile zakaria hanspope ni mafia uyoWanajamvi mwenye kuweza kuanzisha uzi maalum kwa ajili ya ile kesi ya UHAINI na kilichoendelea baada ya kesi na walipo wale wahusika kwa sasa itatusaidia sana sisi wa juzijuzi. Au kama kina uzi tayari naomba mtu anipe link nikajisomee huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa baba angu kumbe umekulia kwenye nyumba ya kizalendo kabisa, kwanini sasa unaungana na matapeli wa nchii na kujitahidi kuwapamba shida nini ? Njaaa au?Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Hata Mkono ameshindwa kuvivaa viatu vyake KWELI ??Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Juma Thomas Zangira alikuwa mtu wa intelligence miaka ya mwanzo ya Uhuru wetu wa Bendera, na alikuwa karibu sana na Oscar Kambona. Alikuja kufungwa baadae na alipotoka ndio akawa na kibarua pale Kilimanjaro Hotel enzi hizo.Mayalla kama ulikuwa unapendelea kufuatilia kesi unikumbushe kesi ya MTU mmoja anaitwa
(1) Thomas Nzangira alikamatwa kwa kesi ya uhaini kama sio ujasusi nimesahau
(2) dereva taxi muhando aliyewachomekea kesi kina maghee alikuwa anapaki taxi yake Kilimanjaro hotel
Hahahaha Anko tom kipeseSs mbona hao wahaini wengi walikuwa wacheza mpira nn kiliwapata mkuu.
Maana km huyo Mnenge Suluja na Anko Tom kama kichwa hakijachanganya mafaili nakumbuka walikuwa wasakata kabumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Stuxnet,
Mkuu hebu fanya basi kuachia upupu wote na sisi watoto wenu watiifu tuwashwe na kujifunza namna ya kujikuna.
Soma hapaStuxnet,
Mkuu hebu fanya basi kuachia upupu wote na sisi watoto wenu watiifu tuwashwe na kujifunza namna ya kujikuna.
Hans Pope (senior) alikuwa Regional Police Commander, Iringa, kabla ya kupelekwa Mkoa wa Ziwa Magharibi (West Lake Region) ambao sasa ni Kagera. Nakumbuka picha yake ilipochapishwa magazetini hapa nchini, 1972, baada ya kuuawa na askari wa Amin waliomteka Mutukula.Natamani kujua ushiriki wa Hanspope katika tukio hili ila sijapata wa kunisimulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hans Pope (senior) alikuwa Regional Police Commander, Iringa, kabla ya kupelekwa Mkoa wa Ziwa Magharibi (West Lake Region) ambao sasa ni Kagera. Nakumbuka picha yake ilipochapishwa magazetini hapa nchini, 1972, baada ya kuuawa na askari wa Amin waliomteka Mutukula.
Katika picha ile, mwili wake ulivimba sana. Amin alisema jeshi letu lilikuwa na Wachina na Hans Pope ulikuwa ndiyo ushahidi huo. Hans Pope alikuwa na damu ya Kijerumani, siyo ya Kichaina, ingawa sura yake katika picha ile ilikuwa kama ya "Kichaina" kwa sababu ya kuvimba sana. Naikumbuka sana picha ile. Ilikuwa ukurasa wa kwanza magazetini.
Watoto wake ndiyo hao wawili Zacharia na Harry waliohusika na mpango wa kumpindua Nyerere, 1982, pamoja na wanajeshi wengine.
Zacharia alikuwa captain kikosi cha mabomu na Harry (RIP) alikuwa rubani wa Airwing. Walishawishiwa kuingia kwenye uhaini kwa hisia kuwa Nyerere kumsababisha kifo cha baba yao kwa kumpeleka kuwa RPC Wes Lake Region .
Shukrani,je kwa miaka ya sasa kwanini majaribio ya kumpindua raisi hayatokei,au watu wameridhika na Hali hii,nidhamu,au wanajeshi wa siku hizi wamepoa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulikua hutambui?Kumbe Mizengo ni kitengo?
Kabisa mkuu.Mkuu ulikua hutambui?
Zamani hiyo boss..Siku hizi kitengo watu wanaenda bila the right merits...
Murtaza Lakha alitimkia UK baada ya kuandamwa na tuhuma za tax avoidance. Alifariki dunia mwaka 2010 huko huko Uiengereza
Nyakati zimebadilika halafu vyombo vya kimataifa kama UN na AU zikikuwekea vikwazo hufiki popote. Hata nchi za West Africa hususan Nigeria na Ghana ambazo zilikuwa na matukio mengi ya mapinduzi toka majeshini ziliacha before mid 1990s.Shukrani,je kwa miaka ya sasa kwanini majaribio ya kumpindua raisi hayatokei,au watu wameridhika na Hali hii,nidhamu,au wanajeshi wa siku hizi wamepoa??
Sent using Jamii Forums mobile app
OkayHans Pope (senior) alikuwa Regional Police Commander, Iringa, kabla ya kupelekwa Mkoa wa Ziwa Magharibi (West Lake Region) ambao sasa ni Kagera. Nakumbuka picha yake ilipochapishwa magazetini hapa nchini, 1972, baada ya kuuawa na askari wa Amin waliomteka Mutukula.
Katika picha ile, mwili wake ulivimba sana. Amin alisema jeshi letu lilikuwa na Wachina na Hans Pope ulikuwa ndiyo ushahidi huo. Hans Pope alikuwa na damu ya Kijerumani, siyo ya Kichaina, ingawa sura yake katika picha ile ilikuwa kama ya "Kichaina" kwa sababu ya kuvimba sana. Naikumbuka sana picha ile. Ilikuwa ukurasa wa kwanza magazetini.
Watoto wake ndiyo hao wawili Zacharia na Harry waliohusika na mpango wa kumpindua Nyerere, 1982, pamoja na wanajeshi wengine.
Zacharia alikuwa captain kikosi cha mabomu na Harry (RIP) alikuwa rubani wa Airwing. Walishawishiwa kuingia kwenye uhaini kwa hisia kuwa Nyerere kumsababisha kifo cha baba yao kwa kumpeleka kuwa RPC Wes Lake Region .