Sifa nzuri za Ndege Bundi

Sifa nzuri za Ndege Bundi

lake Ngonsi

Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
13
Reaction score
48
Kwanini Ndege Bundi anatafisiriwa kiuchawi?

Nahis bundi ana faida nyingi sana...na ndio maana baadhi ya mashirika yanatumia kama nembo yao.....

Baadhi ya Sifa za bundi..
Bundi ana uwezo mkubwa wa kunusa Mnyama anayekaribia kufa, ana uwezo wa kuona karibu mara nane ya uwezo wa Binadamu, anauwezo wa kuruka bila kumsikia, anaona usiku na mchana (japo mchana Kwa tabu kidogo), anaweza kuvumilia dhoruba(anaweza kukaa muda mrefu sehem ambayo anapigwa mawe), n.k.

Sasa Kwa huo uwezo wake aliopewa na Mungu, kwanini Binadamu wamemtafiri kiuchawi zaidi? Kwanini tusichukue hizo faida na kuzitafisiri positively (Mfano, ikiwa Binadamu ameanza kufa(kufa cell) huwa bundi anaweza kusogea ikatafisirika kwamba tuanze kuandaa mazishi au kama mlikuwa na mpango wa kumsafirisha basi mhairishe ili kuokoa Gharama?)

Pia tujiulize hayo mashirika yanayotumia nembo ya Bundi yenyewe yameona nini?

Bill John Mansozi
 
Kuna kipindi walikuja raia wametoka dar walikua wanatafuta vichwa vya bundi,
Kichwa kimoja walinunua 200k....

Wakuu tuliua bundi pasi na mfano ila sharti lao lilikua bundi apatikane mzma ndio achinjwe
 
Kwanini Ndege Bundi anatafisiriwa kiuchawi?

Nahis bundi ana faida nyingi sana...na ndio maana baadhi ya mashirika yanatumia kama nembo yao.....

Baadhi ya Sifa za bundi..
Bundi ana uwezo mkubwa wa kunusa Mnyama anayekaribia kufa, ana uwezo wa kuona karibu mara nane ya uwezo wa Binadamu, anauwezo wa kuruka bila kumsikia, anaona usiku na mchana(japo mchana Kwa tabu kidogo), anaweza kuvumilia dhoruba(anaweza kukaa muda mrefu sehem ambayo anapigwa mawe), n.k.

Sasa Kwa huo uwezo wake aliopewa na Mungu, kwanini Binadamu wamemtafiri kiuchawi zaidi? Kwann tusichukue hizo faida na kuzitafisiri positively (Mfano, ikiwa Binadamu ameanza kufa(kufa cell) huwa bundi anaweza kusogea ikatafisirika kwamba tuanze kuandaa mazishi au kama mlikuwa na mpango wa kumsafirisha basi mhairishe ili kuokoa Gharama?)

Pia tujiulize hayo mashirika yanayotumia nembo ya Bundi yenyewe yameona nini?

Bill John Mansozi
Huyu ni ndege mfalme wa usiku
 
Kwanini Ndege Bundi anatafisiriwa kiuchawi?

Nahis bundi ana faida nyingi sana...na ndio maana baadhi ya mashirika yanatumia kama nembo yao.....

Baadhi ya Sifa za bundi..
Bundi ana uwezo mkubwa wa kunusa Mnyama anayekaribia kufa, ana uwezo wa kuona karibu mara nane ya uwezo wa Binadamu, anauwezo wa kuruka bila kumsikia, anaona usiku na mchana(japo mchana Kwa tabu kidogo), anaweza kuvumilia dhoruba(anaweza kukaa muda mrefu sehem ambayo anapigwa mawe), n.k.

Sasa Kwa huo uwezo wake aliopewa na Mungu, kwanini Binadamu wamemtafiri kiuchawi zaidi? Kwann tusichukue hizo faida na kuzitafisiri positively (Mfano, ikiwa Binadamu ameanza kufa(kufa cell) huwa bundi anaweza kusogea ikatafisirika kwamba tuanze kuandaa mazishi au kama mlikuwa na mpango wa kumsafirisha basi mhairishe ili kuokoa Gharama?)

Pia tujiulize hayo mashirika yanayotumia nembo ya Bundi yenyewe yameona nini?

Bill John Mansozi
Mbona hii inaelezeka na basic principle ya maisha simple tu.

Binadamu huchukia vitu vyenye uwezo kuzidi wao hata kwa binadam wenzao. Angalia watu wenye achievements kubwa wakitereza kdg tu hakuna baya hutaacha kusikia, mara freemason, mara mchawi, mara muuaji etc....

It's human nature chief
 
Nawapenda sana aina (breed ya bundi) snow owl na Eagle owl

Snow owl ama arctic owl wanapatikana north pole hadi canada. Ni weupe na maka meudi na wako protected hutakiwi kuwadhuru na kuwaua.

Eagle owl wako mabara yote hata Serengeti wapo. Ni wakubwa na wenye nguvu.

Kitu kinachonifurahisha kuhusu bundi ni kuzungusha shingo 360 degrees.

Wayahudi mpakani na waarabu Israel na Jordan wametodautiana kuhusu bundi. Wayahudi upande wa Israel wanawatunia bundi sana kuua panya na rodents (pests) kwenye mashambaa yao ya ngano. Bundu upande wa Jordan wamekimbilia upande wa Israel amba hawawindwi na kuuawa kwasababu upande wa Jordan wanawachulia ni ndege waovu inabidi wauwawe.
photo-1551337213-0b69f29206e7.jpeg
snow owl

istockphoto-1285608511-170667a.jpg

Eagle 🦉
 
Ili jambo lina pande mbili kisayansi pia kwa imani za kichawi pia. Elimu ya giza wanasema bundi utumika kichawi
 
Back
Top Bottom