Sifa/taratibu za mechi za shirikisho

Sifa/taratibu za mechi za shirikisho

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
1. Team nyingi shiriki zinatoka nchi ndogo kisoka kama Chad, Somalia, Sudan,Sheli Sheli

2. Hakuna sheria za offside, mchezaji akizidi haina tatizo

3. Ni mashindano mara nyingi yanafautiliwa na watoto, watu wazima hawafatilii

4. Haya mashindano ni marufuku kuchezeshwa na refa mwenye beji ya FIFA, mara nyingi waamuzi ni local tu.
Mwamzi mkubwa kama Arajiga hawezi kumchezesha mechi ya shirikisho.

5. Makocha wao hawana CV kubwa, mfano coach wa mtani, alikuwa coach msaidizi yaani mpanga cone za mazoezini

6. Team za shirikisho hazina uweZo wa kupiga pasi hata 5, ni kubutua tu.

7. Mechi za shirikisho hazina hadhi ya kuoneshwa live kwenye TV, ndio maana mtani alifanya mazoezi huko Egypt kucheza kisiri

8. Jezi za wachezaji teams za shirikisho haziandikwi majina ya wachezaji, zinaandikwa tu namba

9. Viwanja vya shirikisho, vingi ni vibovu, ni marufuku Kwa mtani kucheza mechi ya shirikisho uwanja BW Mkapa stadium

10. Ni aibu team kubwa kucheza shirikisho
 
Hebu nitajie timu kubwa ya Tanzania ambayo haijacheza shirikisho....
 
Naangalia hapa mechi ya KEN GOLD SPORT vs SINGIDA BIG STARS

yaan TIMU ZOTE HAZINA UWEZO WA KUPIGA PASI 5 MFULULIZO

YAAN butua butua nyingi sanaa yaan kwa mtindo huu TIMU ZA KUTOA UPINZANI NA CHANGAMOTO HAZIFIKI 6 KWAKWELI
 
Naangalia hapa mechi ya KEN GOLD SPORT vs SINGIDA BIG STARS

yaan TIMU ZOTE HAZINA UWEZO WA KUPIGA PASI 5 MFULULIZO

YAAN butua butua nyingi sanaa yaan kwa mtindo huu TIMU ZA KUTOA UPINZANI NA CHANGAMOTO HAZIFIKI 6 KWAKWELI
Halafu hao Singida wachezaji kumi walionza first eleven wote wakigeni kasoro pazia Metacha.
 
Sasa mbona ile timu mliyocheza nayo jana nayo, wachezaji wake jezi hazikuandikwa majina bali namba tu, timu hata uwanja haina ikaomba kuchezea ugenini kama nyumbani
 
Sasa mbona ile timu mliyocheza nayo jana nayo, wachezaji wake jezi hazikuandikwa majina bali namba tu, timu hata uwanja haina ikaomba kuchezea ugenini kama nyumbani
Shirikisho ni uchafu
 
Back
Top Bottom