Sifa ya kujiita Msomi Mwanachuo ni ipi?

Sifa ya kujiita Msomi Mwanachuo ni ipi?

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
162
Reaction score
139
Kusoma na kumalizana kupata cheti chako kizuri sio njia pekee ambayo itakuweka salama na kukuweka kwenye kundi la wasomi, haijalishi ni Certificate, Diploma, degree au Master.

Hii ni kutokana na wasomi wengi kutoonesha nini walicho nacho na kuishia kujidai na cheji. Vyeti vilivyo vingi vya wasomi wa elimu ya juu ni fake, Naweza sema ni wasomi kama sisi. Kama mtu hajasoma kama ulivyosoma wewe na anacheti kizuri kama ulichonacho wewe chenye kila vigezo kama chakwako. Huyu unamuweka kwenye kundi gani au unajitofautisha vipi na huyu mtu. Akili mkichwa.

Vijana tuamke tutumie tulichonacho kuikomboa jamii na si kujidaia elimu ya kwenye makaratasi.
 
Mwanachuo-
Awe amedahiliwa na Chuo husika na Anatambulika kama Mwanafunzi katika Chuo hicho.

Msomi
Awe amepata Elimu kwa Kusoma Chuo au Kwa namna nyingine yoyote, na Elimu aliyoipata imuwezeshe kuleta Mabadiliko kwake na kwa Jamii inayomzunguka.

Cheti
Ni Karatasi maalumu anayotunukiwa Mwanachuo kuthibitisha, amehitimimu mafunzo/masomo aliyoenda kusoma.
 
Back
Top Bottom