Mathias Emma
Member
- May 31, 2017
- 34
- 72
Japo nasikia ukiwa na D mbili unaweza kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana nduguCut point ya 4 kwenye masomo mawili ya comb mfano una AFF
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0.5
F=0
Kwenye huo mlinganyo wa juu chukua masomo mawili yanayounda tahasusi yako uliyofaulu sana kuzidi mengine jumlisha ikija cut point 4 na kuendelea wewe ni chuo kikuu
5+0=5
Hyo ni cutpoint ya 5
Nb kunavyuo baadhi ya coz wanataka huwe na cutpoint ya 4 na kuendelea inayoundwa na principle pass 2 yaani kusiwe na f mbili kwenye comb yako
mlinganyo kwa wanaotokea kidato Cha 6 marekebisho wataweka wadau niniharaka zangu napita
Kwa mujibu wa TCU Unatakiwa uwe na cutoff point ya 4 na kuendelea lkn sharti uwe na minimum D mbili ndo una qualify direct entry.Cut point ya 4 kwenye masomo mawili ya comb mfano una AFF
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0.5
F=0
Kwenye huo mlinganyo wa juu chukua masomo mawili yanayounda tahasusi yako uliyofaulu sana kuzidi mengine jumlisha ikija cut point 4 na kuendelea wewe ni chuo kikuu
5+0=5
Hyo ni cutpoint ya 5
Nb kunavyuo baadhi ya coz wanataka huwe na cutpoint ya 4 na kuendelea inayoundwa na principle pass 2 yaani kusiwe na f mbili kwenye comb yako
mlinganyo kwa wanaotokea kidato Cha 6 marekebisho wataweka wadau niniharaka zangu napita
Sawa asante kwa kuongeza kituKwa mujibu wa TCU Unatakiwa uwe na cutoff point ya 4 na kuendelea lkn sharti uwe na minimum D mbili ndo una qualify direct entry.
Mfano . Ikatokea ume score AEE hapo utakuwa na cutoff point ya 7 ambayo ni above ya 4. But hutachaguliwa . Lkn mwenzako aliye score DDE atachaguliwa . 🙏🙏🙏
Mzee nimemaliza six na watu wenye CEE na wote wapo chuo kikuu, hapo cha msingi masomo mawili yakupe point 4 basi.Kwa mujibu wa TCU Unatakiwa uwe na cutoff point ya 4 na kuendelea lkn sharti uwe na minimum D mbili ndo una qualify direct entry.
Mfano . Ikatokea ume score AEE hapo utakuwa na cutoff point ya 7 ambayo ni above ya 4. But hutachaguliwa . Lkn mwenzako aliye score DDE atachaguliwa . [emoji120][emoji120][emoji120]
Kama hausomi education unapata nafasi vizuriMzee nimemaliza six na watu wenye CEE na wote wapo chuo kikuu, hapo cha msingi masomo mawili yakupe point 4 basi.
Hata hivyo now vyuo vingi, hasa vya private huwezi kosa chuo endapo tu una point 4 katika masomo mawili ya tahasusi yako.Kama hausomi education unapata nafasi vizuri
Sawa upo Sahihi je wewe ulipata DEE au unafurahisha hadhiraHata hivyo now vyuo vingi, hasa vya private huwezi kosa chuo endapo tu una point 4 katika masomo mawili ya tahasusi yako.
Hakuna sehemu niliyo ongelea DEE nimesema CEESawa upo Sahihi je wewe ulipata DEE au unafurahisha hadhira
Hakuna utaratibu kama huo .Kwa mujibu wa TCU Unatakiwa uwe na cutoff point ya 4 na kuendelea lkn sharti uwe na minimum D mbili ndo una qualify direct entry.
Mfano . Ikatokea ume score AEE hapo utakuwa na cutoff point ya 7 ambayo ni above ya 4. But hutachaguliwa . Lkn mwenzako aliye score DDE atachaguliwa . [emoji120][emoji120][emoji120]
🤣🤣🤣Mchongo unaanzia D mbili unapata hapo Mwalimu Nyerere
Na huu ndo ukweli.Hakuna utaratibu kama huo .
Muhusika anapaswa kuwa na Principal pass 2 zenye cutoff point ya 4.
Principal pass ni kuanzia E.
Mtu akiwa na C na E anakua anaqualify sio lazima apate principal pass inayoanzia D huo sio utaratibu uliotolewa na TCU labda chuo husika waweke wao ufaulu wanaotaka ila usiwe chini ya ule wa TCU.
Huyu mwenye AEE anacutoff point ya 6 sio Saba.
Cutoff point inachukuliwa kwenye masomo mawili ya Tahasusi sio matatu hivyo hapo anakua na A na E.
Ninao ushahidi wa watu wenye C na E na wamepata chuo.
Duuuh jamaa muongo wewe, kama na wewe ni msomi basi nchi inaweza kupata hasara.Kwa mujibu wa TCU Unatakiwa uwe na cutoff point ya 4 na kuendelea lkn sharti uwe na minimum D mbili ndo una qualify direct entry.
Mfano . Ikatokea ume score AEE hapo utakuwa na cutoff point ya 7 ambayo ni above ya 4. But hutachaguliwa . Lkn mwenzako aliye score DDE atachaguliwa . [emoji120][emoji120][emoji120]
Hivi 16 ni 3 au 4? Duuuh hatariii tupuu. Hata km ulisoma Science pure, wee ni mzembeee!!Mfano mtu ana ufaulu wa Division Three ya 16 ufaulu wake ni F,F,S,C ina maana hapo sijaqalifai