Sifa Ya Urefu Iwe Lazima Taifa Stars

Sifa Ya Urefu Iwe Lazima Taifa Stars

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Labda itokee Angalau mchezaji awe mzuri kweli Kweli .... Lakini kuwa na mchezaji wa kiwango cha kawaida tu halafu mfupi sana mmh ifikie Mahala swala la physical appearance na skills yote yaangaliwe kama miongoni qualification zamchezaji kuitwa Timu ya Taifa
 
Hatuwezi tukaendelea kimichezo hasa mpira wa miguu pasipo kuwekeza kwenye shule za Michezo( acadamy) , kama tuna nia ya kweli kukuza michezo Tff na serikali waanzishe shule za michezo kila mkoa ili kupata Wachezaji wa aina tofauti katika vipaji, maumbo na vitu vingine vya msingi, kuliko hivi sasa wachezaji wengi wanatoka mijini tu na Hawana mbinu za kisasa za mpira.
 
Back
Top Bottom