Sifa za dokta wa familia

mkuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,459
Naomba kupata mawazo ya wana jf juu ya kuwa na daktari wa familia,je ni sifa zipi awe nazo?je awe kijana au wa makamo ,awe mwanamke au mwanaume na faida na hasara zao ni zipi?
 
Mimi naona awe mtu wa makamo,mwenye kujiheshimu ,mwenye nidhamu na mshika dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…