yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Hii gari naiona nzuri sana, kwanza ni gari kubwa sana, na ina muonekano mzuri. Lakini najiuliza kwanini sio gari maarufu, hasa hapa bongo.
Je zina sifa gani hizi gari? Kwanini watu hawazichangamkii sana?
Je zina sifa gani hizi gari? Kwanini watu hawazichangamkii sana?