Sifa za hii gari "Toyota Sienna"

yello masai

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
3,662
Reaction score
3,715
Hii gari naiona nzuri sana, kwanza ni gari kubwa sana, na ina muonekano mzuri. Lakini najiuliza kwanini sio gari maarufu, hasa hapa bongo.

Je zina sifa gani hizi gari? Kwanini watu hawazichangamkii sana?






















 
Hilo wadogo zake kina ipsum, gaia, fielder, wish na cousin wao isis ndio tunawashobokea
 
Hizi gari zipo Kwa wingi USA na zinatengenezwa huko
 
Cc 3500 si bora ununue canter ibebe tofali ilete hela.

Wabongo hawaiwezi hizo gari za cc nyingi hivyo ndio maana hazijazagaa mjini. Ingekuwa at least 1.8 ltrs ungeona wanavyoligombania kama zile Alphard zipo kibao sahivi.
 
Cc 3500 si bora ununue canter ibebe tofali ilete hela.

Wabongo hawaiwezi hizo gari za cc nyingi hivyo ndio maana hazijazagaa mjini. Ingekuwa at least 1.8 ltrs ungeona wanavyoligombania kama zile Alphard zipo kibao sahivi.
Kweli mkuu
 
mara nyingi kwa upendeleo wangu, gari ikiwa na siti nyingi hivyo huwa napenda iwe imepanda, isiwe chini hivyo. hiyo ni nzuri kwa familia, ila ingekuwa juu, haingejalisha cc, ingekuwa bora sana kwa safari kubeba familia yote kwenda nayo kijijini kusalimia wazazi kipindi cha sikukuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…