Sifa za kugombea ubunge ziangaliwe upya

sirparadek

Member
Joined
Nov 4, 2015
Posts
73
Reaction score
14
Tunashauri katika Katiba ijayo sifa za wagombea ubunge zitazamwe upya kwani dunia hii ni ya sayansi Na teknolojia hivyo elimu ya kujua kusoma Na kuandika imepitwa Na wakati.
 
mbona hata urais sio ubunge tu!
Hivi hukumuona Magufuli akipata kikombe cha babu wa Loliondo?
 
sidhani kama hiyo hoja itapitishwa na CCM.
 
Tunashauri katika Katiba ijayo sifa za wagombea ubunge zitazamwe upya kwani dunia hii ni ya sayansi Na teknolojia hivyo elimu ya kujua kusoma Na kuandika imepitwa Na wakati.

Kwenye rasimu ya katiba ya Warioba ilipendekeza elimu ya msingi iwe kidato cha nne,chama kwa lungu la
ndiyooooooo wakatoa,wangeipitisha automatically std vii wangekosa sifa kwenye kada kadhaa,ukiacha waliopo kwenye ajira za kudumu.
Wasalaam
 
Mimi naamini Kiongozi hayupo ktk makaratasi.
Kiongozi ni toka ulivyozaliwa mwonekano na utendaji, tabia njema nk, Leo hii mkitaka makaratasi wapo kibao lakini uwezo na uweledi wa mtu kuwa Kiongozi haupo. Ndo hao sasa wasomi wazuri tu kazi wamepata nzuri tu, uadilifu hawana!!!!!
Hapa NEC ijipange kuwa ndo watakao simamia mchujo kwa Wagombea uongozi.
Sasa hivi mtu mradi tu MTZ kagombee huko CV ya mtu chafu kuliko ndo anakuwa mbunge nia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…