Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Kama ni msomaji wa jukwa la siasa unaweza shangazwa na wachangiaji wanaojiita wasomi wakipinga PhD’s za watu wasio wakubali.
Issue za ovyo kwangu kwenye huu upingaji ni kuhusu hizi PhD za social science.
Hivi unajiuliza what is so special kwenye kuandika five chapters za hizo thesiskwa mtu ambae aliesoma na akafaulu vizuri kwenye elimu za awali.
Provided you have an idea surely you can write a Phd thesis the research skills required ni zile zile za kuanzia A level.
Hili ndio swala ambalo silielewi kwanini kuwa na Phd Tanzania ni big deal.
Mtaalamu ni mtu ambae sio tu amesomes field fulani, bali amefanya research ya eneo husika ameandika. extensivel on the matter, au amefanya kazi kwenye sector husika kwa muda mrefu na ameshiriki kuiboresha.
Mambo ni mengi ila kuna upuuzi unasoma humu, unabaki na hawa jamaa aisee shida tupu.
Yaani Phd ndio lazima awe mjuaji, wakati unakuta hilo jinga alitambulisha idea mpys yoyote duniani.
Nyie watu mnasikitisha kwenye interpretation za nini maana ya kuwa academic.
Mfano wewe sio mwanasheria kwa sababu tu ya kusoma sheria duniani; you have to practice law mahakamani ndio uitwe mwanasheria.
Ni vitu vigumu kumeza lakini lazima mkubali pia kukubali upuuzi wenu to meet international standard; you people are just a bunch of ignorants on so many fronts.
Huo ndio ukweli wenyewe; and you will be disadvantaged mkikutana na mabeberu ambayo trained kwenye majadiliano.
Hamna huo uwezo kwa kuwasoma watu tu
Issue za ovyo kwangu kwenye huu upingaji ni kuhusu hizi PhD za social science.
Hivi unajiuliza what is so special kwenye kuandika five chapters za hizo thesiskwa mtu ambae aliesoma na akafaulu vizuri kwenye elimu za awali.
Provided you have an idea surely you can write a Phd thesis the research skills required ni zile zile za kuanzia A level.
Hili ndio swala ambalo silielewi kwanini kuwa na Phd Tanzania ni big deal.
Mtaalamu ni mtu ambae sio tu amesomes field fulani, bali amefanya research ya eneo husika ameandika. extensivel on the matter, au amefanya kazi kwenye sector husika kwa muda mrefu na ameshiriki kuiboresha.
Mambo ni mengi ila kuna upuuzi unasoma humu, unabaki na hawa jamaa aisee shida tupu.
Yaani Phd ndio lazima awe mjuaji, wakati unakuta hilo jinga alitambulisha idea mpys yoyote duniani.
Nyie watu mnasikitisha kwenye interpretation za nini maana ya kuwa academic.
Mfano wewe sio mwanasheria kwa sababu tu ya kusoma sheria duniani; you have to practice law mahakamani ndio uitwe mwanasheria.
Ni vitu vigumu kumeza lakini lazima mkubali pia kukubali upuuzi wenu to meet international standard; you people are just a bunch of ignorants on so many fronts.
Huo ndio ukweli wenyewe; and you will be disadvantaged mkikutana na mabeberu ambayo trained kwenye majadiliano.
Hamna huo uwezo kwa kuwasoma watu tu