sifa za kujiunga na uwalimu

Erick tryphone

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
387
Reaction score
84
Jamani kwa anae jua anieleze sifa za kujiunga na uwalimu ngazi ya cheti na dilploma
 
ume umefaulu masomo yako.kama umefeli tafuta tubu na spana kaa road ziba pancha baiskeli.
 
history B
kiswahili D
georaphy C
english D
bilogy D
civics D
B/math F
subiria subiria mkuu,unaweza kubahatisha kuchaguliwa A level,kuwa mpole,ingawa kwa pass mark yako certificate unaenda bila shida
 
Kama karibu kila somo ulikaribia kufeli unataka kufundisha nini? Mwalimu mwenye mostly C kuenda chini anaweza kufundisha wanafunzi wakapata A?
Ualimu ni wito. Usijiunge na chuo cha ualimu kama namna ya kutafuta ajira. Ni lazima uwe unapenda kufundisha na uwe kioo cha jamii. Huna interest yoyote ile au kipaji chochote unachotaka kukiendeleza?

history B
kiswahili D
georaphy C
english D
bilogy D
civics D
B/math F
 
hivi second selection form v zinatoka lini na wanachukua sifa zipi wakuu embu nisaidien hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…