Jamani eeeh! Nawasalimu. Niko mbali sana na tawi lolote la CRDB ili nikaulize, so naomba msaada kwa anayejua hili.
Nimeajiriwa ajira ya ualimu mwaka huu, nahitaji kuchukua mkopo CRDB. Je, nitakuwa na sifa za kukopesheka kwa kipindi hiki cha miezi mitatu kazini?
Nimeajiriwa ajira ya ualimu mwaka huu, nahitaji kuchukua mkopo CRDB. Je, nitakuwa na sifa za kukopesheka kwa kipindi hiki cha miezi mitatu kazini?