hujasoma andiko langu...Ada za private zimelipwaje??
Kabisa wapo wengine yatima ama wametokea familia maaikini na ikatokea walisomeshwa kwa ufadhili wa watu binafsi au kanisa na misikiti...bodi haiangalii hivo...inachinja tu na kuwanyima mikopo vijana wa kitanzania kwa ushamba wa kudhani wao ni matajiri.Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
hujasoma post yangu.. soma then njoo uandikeHaiwezekani mtu asome shule analipa ada milioni 5 kwa mwaka halafu aje kuomba mkopo.
Kwani mkopo ni zawadi? Mi nadhani kila anayestahili mkopo apate mkopo isiangaliwe mtoto kasoma private au Shule za Serikali.Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
Mkopo ni haki ya kila mtanzania awe na uwezo hana uwezo ni haki yake kwasababu fadha za mkopo zinatokana na kozi za watanzania wote, kodi inakusanywa bila kubagua kwanini ubague wakati wa kuwakopesha watu? Tena kwenye nchi yao?Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
unjua ukiwa nchi za kidikiteita kama zetu, yachulie kidikiteita. You are bsolutely right, kila mmoja apate mkopo maana siyo zawadi, ni kuwa utaulipa kwa jasho. Lakini nchi zetu za kishenzi ziko hivyo... mtu unabembeleza mkopo....Kwani mkopo ni zawadi? Mi nadhani kila anayestahili mkopo apate mkopo isiangaliwe mtoto kasoma private au Shule za Serikali.