Sifa za kupigiwa miruzi na kushangiliwa ndio kichocheo cha ajali nyingi kwenye mabasi

Sifa za kupigiwa miruzi na kushangiliwa ndio kichocheo cha ajali nyingi kwenye mabasi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kuna jambo tumelisahau kuhusu ajali nyingi za mabasi ni kipi.

Tukisema ulevi, uzembe au barabara si kigezo sana ila la miruzi na kushangiliwa kuwapa sifa wanapoingia stendi au kutoka na zinopokuwa njiani.

Dereva wa basi upenda sifa kwa kushangiliwa na waliokuwa nje ya barabara au wakisikia walivopita magari.

Tusipolikemea ili bado swala la ajali litabaki pale pale.
images%20(67).jpg
images%20(68).jpg
 
Lakini picha ulizoweka na topic yako ni irrelevant.... Based on what caused those accidents.
 
Lakini picha ulizoweka na topic yako ni irrelevant.... Based on what caused those accidents.
Kama utakuwa na kumbukumbu ya ajali hii utakuwa umeelewa mada nayo sema.
Kosta 2 zilibeba wana jumuiya wa kanisa .ni mambo ya kushangiliana
images%20(67).jpg
 
Back
Top Bottom