1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Mimi ninani hata nikubishie.1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
🤣🤣Winga winga winga
Niaje best? Umekula pesa za miti ya Christmas hata kunishtua mtu wangu? Vibaya hivyo 😂😂😂🤣🤣Winga winga winga
Zenji kufanyaje😢 hali ni ngumuNiaje best? Umekula pesa za miti ya Christmas hata kunishtua mtu wangu? Vibaya hivyo 😂😂😂
Vipi sasa trip ya zenji kunaendeka?! Ndio mida ya kula utawala hii mawinga
🤣🤣🤣 Na mishangazi haikosi umeme, mwambie mwanaume mwenzio. Awe tyr kubwia mbaaziSidhani hata mishangazi kama unaijua kwel!
Sasa wewe boss ukisema hali ngumu, sisi huku tusemeje? Au na ww una kilio cha makontena yamekwama bandarini.?Zenji kufanyaje😢 hali ni ngumu
Umepotea! Kinoma chaliang
Kula mishangazi yenye akili at least uwe na ww una mazingira kiasi sasa ww unaenda huna kitu mfukoni upo tu na ngozi ya mbupu imechakazwa na fangas🤣🤣🤣 Na mishangazi haikosi umeme, mwambie mwanaume mwenzio. Awe tyr kubwia mbaazi
Kuna Lile kapu linaitwa Shangazi kaja. Awe nalo ni sifa muhimu1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Rudi kariakoo na ww uone🤣kama wiki nzima hujarudi home na buku sabaSasa wewe boss ukisema hali ngumu, sisi huku tusemeje? Au na ww una kilio cha makontena yamekwama bandarini.?
Uvivu tu wa kulima 😂😂😂Kula mishangazi yenye akili at least uwe na ww una mazingira kiasi sasa ww unaenda huna kitu mfukoni upo tu na ngozi ya mbupu imechakazwa na fangas