samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Ni jana naangalia kipindi cha michezo EATV ukaoneshwa mkutano wa simba,yaani ooh mara hii simba tishio Afrika na duniani,ooh ni iko sawa na mancity sijui,oohh itachukua makombe yote yaani la ligi kuu,la ubingwa africa,na la mabara .mmh ngoja tuone tupo hapa na tunawatakia kila la heri .ingawa nijuavyo wakianza kuwa na mechi za CAF kisha na Ligi kuu hapo tutaona kipimo chao