Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Synovate siwaelewi kabisa kwa ili, naomba wana-JF mnisaidie! Wamesema asilimia 84 wana imani na JK, asilimia 78 JK ni mtendaji mzuri, halafu asilimia 61 watamchagua JK 31 Okt 2010.
Maswali: je, kama wenye imani na JK ni 84% na wanaomchagua JK ni 61%, kwa nini wale asilimia 23% ya wenye imani naye wasimchague? Je, kama wenye imani na JK ni 84%, halafu 78% wanaukubali utendaji wake basi kwa nini hao 6% wenye imani naye, hawakubali utendaji wake? Halafu 17% kati ya 78% wanaokubali utendaji wake, ni kwa nini hawatamchagua JK kuwa Rais?
Maswali: je, kama wenye imani na JK ni 84% na wanaomchagua JK ni 61%, kwa nini wale asilimia 23% ya wenye imani naye wasimchague? Je, kama wenye imani na JK ni 84%, halafu 78% wanaukubali utendaji wake basi kwa nini hao 6% wenye imani naye, hawakubali utendaji wake? Halafu 17% kati ya 78% wanaokubali utendaji wake, ni kwa nini hawatamchagua JK kuwa Rais?