Sifa za wanaume wa leo

Sasa kama pesa ipo yanini upande juu ya ngazi au stuli wakati mafundi wapo ?? Mwenye pesa hapendi tabu mkuu, apo naweza kukuunga mkono kwenye mavazi ya kuonyesha maungo ila vingine ni havina tofaut yoyote kati ya baba zetu na sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…