Periwinkle
Senior Member
- Jul 30, 2021
- 141
- 198
Tena rojo anakwambia yai lisikauke sana...jamani!Kwani mimi ndio niliwashauri mue mnakula chipsmayai yenye tomato nyingi mkuu...☺
🤣🤣🤣-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko
Haujaona kama amesema tuongezee ya kwetu?Hayo matukio ya mikoani yanafanana na alio orodhesha mleta mada....??!!
Nisahihi mkuu, ila ndio msiwe mnalalamika eti mkipanda juu ya kiti kubadilisha balbu lazima muanguke...😂 na mwisho wa siku mnaenda gym lakini mnaogopa kuua panya au mjusi...🤣Kwani kula chips yai dhambi wewe umekatazwa kula
Yesu.....🙊Tena rojo anakwambia yai lisikauke sana...jamani!
Siku hizi umekuwa fundi umeme mdogo wangu?Ila hao wapo wengi wanaoshindwa kubadilisha 💡 iliyo ungua wanaita fundi na hajui bei ya 💡 nakula pesa zao nyingi sana
Wewe mbona unaogopa chula mzeeNisahihi mkuu, ila ndio msiwe mnalalamika eti mkupanda juu ya kiti kubadilisha balbu lazima muanguke...😂 na mwisho wa siku mnaenda gym lakini mnaogopa kuua panya au mjusi...🤣
Sasa kama mtu anajifanya anapesa ataki kubadirisha taaa unafanyajeSiku hizi umekuwa fundi umeme mdogo wangu?
Zina shidaWanaume wa leo hawataki kula Ugali wanataka kula Biscuits na Soda.
Nikajua fundi profeshino kumbe fundi maiko 😅 nilikuwa nataka nikupe koneksheni ya kaziSasa kama mtu anajifanya anapesa ataki kubadirisha taaa unafanyaje
Umedanganya.Ila huko mikoani ndio kuna matukio mengi sana yanayosababishwa na mapenzi.
Ahahah sijui ata kufunga nyaya za umeme ase Ushimen bado tunasubiri ufute kauli yako juu ya sisi wanaume wa darNikajua fundi profeshino kumbe fundi maiko 😅 nilikuwa nataka nikupe koneksheni ya kazi
Mzee punguza matusi aseBadilikeni kwanza, sio mnaagiza chipsmayai alafu unasisitiza eti isikauke sana....(ndiomaana mnalegea)😝😝
Ndio muache kua mnapaki magari na kupanga foleni kwa wauza miguu na utumbo wa kuku...😜Mzee punguza matusi ase
Unataka tupaki punda kama ninyi uko singidaNdio muache kua mnapaki magari na kupanga foleni kwa wauza miguu na utumbo wa kuku...😜
Sasa kama pesa ipo yanini upande juu ya ngazi au stuli wakati mafundi wapo ?? Mwenye pesa hapendi tabu mkuu, apo naweza kukuunga mkono kwenye mavazi ya kuonyesha maungo ila vingine ni havina tofaut yoyote kati ya baba zetu na sisiMaisha yanatupeleka kasi sana na wanaume wa dizaini za Baba zetu wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu nilichokiona.
-Mwanaume wa leo hawezi badili taa iliyoungua mpaka amwite fundi.
-Mwanaume wa leo anaogopa panya.
-Mwanaume wa leo anakagua masufuria jikoni/kulamba mwiko.
-Mwanaume wa leo anajipodoa/kuvaa nguo zinazoonyesha maungo yake.
-Mwanaume wa leo anakula asivyogharamia.
Ongezea vya kwako ulivyoviona kabla hatujaanza vya wanawake wa leo ambao si kama mama zetu.