signature

PingPong

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2008
Posts
926
Reaction score
160
Wadau wa mambo ya sheria naomba mnifahamishe kuhusu signature (sahihi) ya mtu binafsi kama inawezekana kuibadili wakati wowote mhusika anapoitaji, mfano mtu akitumia aina flani ya signature tangu anasoma sekondari mpaka chuo, baada ya kuanza kazi akaamua kutumia signature nyingine, je kuna kosa lolote kisheria? na kama ni kosa, je kuna utaratibu wowote kisheria kuweza kubadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…