sihitaji kuolewa je ni tatizo?

Status
Not open for further replies.
hamna lolooote!

hivi hujakaa ujiulize ni kwanini watoto wakishajitambua huwa wanauliza baba yangu yupo wapi? hivi unafikiri wanakuwa wamekosa vitu ambavyo ni material things halafu huyo mtoto unamjengea dhana ipi pindi atakapotambua mama yangu hakutaka kukaa na baba alitakaa mtoto basi atakuchukuliaje hasa mtoto wa kike unamjengea mazingira gani? ndo kwanza unayetumboni tuulize sisi tuliokwisha watoa nje watoto wanahitaji upendo wa mama na baba labda itokee bahati mbaya baba kafariki au katoroka familia usipende kumlea mtoto katika mazingira kama ya wanyama hamjui hata babaye ni yupi
 
Labda kama ana mpango wa kulea watoto yatima. Lakini kama ana mpango wa kuzaa na waume zetu that is more than selfishness. Kwanza anawapa watotowake label mbaya katika jamii pili anaharibu nyumba za watu ambao wana imani na ndoa.

halafu kweli unategemea wanaume atakaowafuata ni wale ambao watakuwa tayari kwenye ndoa au labda aamue kuwa sugarmumy .aibu ndo haya ya kuchukuliana mama na binti kweli ni lable mbaya kwa jamii
 
nitazaa na boydfr wangu, nanimeshamueleza kama anapenda kuoa atafute mchumba aoe mimi anipe
watoto tuu asepe, sitamtenga na watoto wake ila kuishi nae ndio mwiko

Mi nahic we ndo mwenye matatizo ya kupelekea kuachwa unataka akupe watoto akishaoa ukavunje ndoa sio ustaarabu
 

Nimependa maelezo yk kwa dada,ila umekuja kuharibu pale ulipomwambia ipige maji ya moto,ckauli nzuri hy mpendwa ungemshauri uczini ni neno zuri kuliko ulotumia mwnz,chunga maneno
 
wanaume tumejaa tele ni ww tu labda hujui kutanua mabawa kama ndege tausi ili kutuvutia
jitahidi mama kuzaa na kulea bila baba sio kazi rahisi kama unavodhani
toa dhana yako potofu na omba sana pepo la kukataliwa likutoke

Uwe na lafudhi nzr ndg yng,wanaopata c kwa ujanja wao na wanaokosa c kwa ujinga wao,mungu humpa amtakae kwa muda autakao,control your toungue plz!
 
Waache hawajajua ni kiasi gani kwa yule mtoto anaathirika kwa kukosa upendo wa baba

Jamani kulea mtoto katika maadili ni muhimu sana kwni bla maadili wataiga kl kicchokua mila yao na kutokua na hofu ya mungu,laiti walotangulia wangeffuka wangejiuliza 2naishi vp km wanyama.
 
labda huelewi kiswahili
lugha gani mbaya nimetumia hapa
i was just trying to educate her on how to lure men (attract)
sasa lugha mbaya iko wapi? mapenzi ni kama tausi ambae hutanua
mabawa yake yenye mauwa mazuri kumvutia mwenzake
mapenzi sio kukaa kusubiri ni kutafuta kwa njia yoyote
ndugu sioni ubaya wowote kwa nlichomshauri nimemshauri kwa lafudhi nzuuuurii mno ndio maana hajalalamika yeye:tea: karibu chai

Uwe na lafudhi nzr ndg yng,wanaopata c kwa ujanja wao na wanaokosa c kwa ujinga wao,mungu humpa amtakae kwa muda autakao,control your toungue plz!
 
YAANI WW UMETENDWA KAMA WATANZANIA WALIVYOTENDWA MAGAMBA,KAA 2 MWEEGO HVYOHVYO ila kuwa makin usije kupata watoto pamoja na Ukumbusho mwilini(UKIMWI).
 

Mnajidanganya uncle atabaki kuwa uncle na baba atabaki kua baba,hamna yyt atakae playa father figure icpokua baba mwenyewe wengn watakaribia lkn hawaifikii
 
ni tatizo da latifa! nyumba bila baba .. watoto lazima watakuwa na walakini either ma kimaadili au etcl.... Ndoa inaketa kheri katika mapenzi ya watu wawili.. omba mungu upate a gentleman .. achana na vi boy friends ...

good luck
 
miafrika ndivyo tulivyo,umekosa jina lingie hadi ukaona uumie jina la huyu dada bora ungetumia la wadada wa nch za kimangaribi.sifa za kijinga na kuaribiana


mkuu mbona inakuuma sana.. huyu shori kujiita jokate ! you never know labda ni jina lake halisi...
 

It true bby anahitaji psychological tretment,mpz mm ni mcchana mwenzk naitaji nikusaidie ilo tatizo,kisaikolojia tu na cvinginevo it bcz ni profesional yng,km upo tyr ni pm,lkn kumbuka umesema umelelewa ktk dini je kwa imani yk unaruhusiwa kuzaa bila ndoa?na ulisema jamîi na wazazi wanamtazamo hac kwk kwa kuchelewa kuolewa je kuzăa bila ndoa hudhani kama utaendeleza mtazamo wao kwako?hivi kwa nn mnapenda kuwahucsha watoto wasio na hatia ktk matatizo yenu binafc?km hutaki ndoa na uczae,unajua kwa imani ya dn yk ukizăa bila ndoa unamkosesha mtoto haki yk ya kurithi hata kama baba yk akiwa na mali,na huoni unazalisha dhambi nyengine ya uzinifu na kuchkua waume za watu,je hayo umeyafikiria kwa makini km kweli umelelewa ktk mcng ya dini?yn roho inaniuma kwakua muiclamu mwnzng,km umeteleza ukazini nakupata hiyo mimba bc unayo nafac madhali bado unapumzi mungu mwingi wa kusamehe,kumbuka mungu amekuleta duniani na amekupangia utaratibu măalum wa kuishi na ucishi kwa matashi ya nafc yk yako,kuna kifo kumbuka kuna ck ya hesabu na malipo na watoto watakushtakia kwa mungu latifa,kuna watoto wamefiwa na baba zao wakiwa wp 2mboni kwa mama zao wanataman wangepata malezi ya baba ww unadiriki kuwapangia mbinu za kuwakosesha watoto haki zao kwa kusudi latifa,mtume wetu aliona wanawake wengi motoni alipokua miraji tujichunge mungu atuepushe tucwe wamoja wapo.kubali uyo mwanaume latifa akuoe unayo nafac ya kutubu mpz.
 
ni tatizo da latifa! nyumba bila baba .. watoto lazima watakuwa na walakini either ma kimaadili au etcl.... Ndoa inaketa kheri katika mapenzi ya watu wawili.. omba mungu upate a gentleman .. achana na vi boy friends ...

good luck

Njiwa sema ww labda utaelewka.
 
aliyesema huyo mtoto hatamjua baba yake nani? Baba yake yupo naanamtunza tokea tumboni na anampenda na anamtamani rpana
 
miafrika ndivyo tulivyo,umekosa jina lingie hadi ukaona uumie jina la huyu dada bora ungetumia la wadada wa nch za kimangaribi.sifa za kijinga na kuaribiana

UMETUMWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????:lock1:
 
ni tatizo da latifa! nyumba bila baba .. watoto lazima watakuwa na walakini either ma kimaadili au etcl.... Ndoa inaketa kheri katika mapenzi ya watu wawili.. omba mungu upate a gentleman .. achana na vi boy friends ...

good luck

Alf jamani wazazi nikama mwili wa binadamu ukiuma mkono mwl mzm hauko sawa,na pia akikosekana mzazi mmoja lzm walakiki utokee psychological au direct wa kimaadili,yn hii njiwa cjawai kuchangia mada sana kwa post 1 km leo imenipa maumivu sana,najua nikiac gn future ya watoto itakavokua,ht km atawapa kl k2 bd itakua haitoshi,jamani love nihitaji muhim sana watoto wanakosa upendo wa baba kwa makusudi,sir God hlp us cjui itakuaje kesho kwa mungu Njiwa.
 
hivi ni ndoa ngapi zinavunjika kila siku hasa hizi za dgni yetu? Rafiki yangu alifunga ndoa ndani ya mwaka kapewa talaka akiwa na mimba ya miezi 7 , hiyo ndoa ilimsaidia nini sanasana imemchafulia jina,
nina mifano kibao ya ndoa ambazo bora zisingefungwa sasana wana mkosea mungu,
kwahiyo nisizae kisa na saka ndoa, ndivyo wasichana wengi wanajidanganya hawataki kuzaa umri wakuzaa unawapita matokeo wanakuja kuchanganyikiwa wakîwa kwenye 4o, kama ndoa umepangiwa utaifunga tuu hatakama una watoto 7,
wewe ndio unasema umesomea sicological cansel?
Hakuna kitu hapo, umekariri maisha wewe.
 

Yn we acha 2 kaka imani ya kweli ni nguzo lau km ata3ckiliza atafanikiwa,na ackwambie m2 binadam tumeumbwa kwa kutegemeana hp furaha yk c dhani km itakua imekamilika bl ataongeza matatizo,uwepo wa jincia tofauti ni muhim Mungu alipo umba jinca tofauti anamaana yk?
 
nawale wanaotoa mimba za kila siku kisa hawajafunga ndoa ndio mnaowafagilia?
Hala fu siku wakifunga ndoa mnaenda kuselebuka na kuwapongeza. Pelekeni huko!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…