Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha tujifunze kwa online....ila hatuli kwa kutumia mdomo wa online
Thaaaaaaaaats trueKaribu ya online inamaanisha kua utakula kwa macho
Asante sana mkuuKaribu Mkuu uje ule ubwabwa wa sikukukuu
Ha ha ha haKaribu ya online inamaanisha kua utakula kwa macho
ha ha ha mkuu we ni muathirika wa hilo jambo?Sasa ata kama ni mwaliko OFFLINE , hayo mambo ya uchumba na mapenzi yanaingiaje...
Kwa nini mkuuMimi hata nikipata mualiko, I will be working on 24th, 25th and 26th
Ndio kazi mkuuKwa nini mkuu
Pole sana mkuu,kazi haikutendei haki mkuu kwa kuwa bize siku hizoNdio kazi mkuu
Tutafanyaje mkuu na Sisi ndio wasaka tonge?? Niende kazini ili abouy ale vizuri siku hiyo au nikae nyumbani nimuone Abouy akihuzunika??Pole sana mkuu,kazi haikutendei haki mkuu kwa kuwa bize siku hizo
Ndio hivyo mkuu,kuna usemi wa utani unasema,'Teseka wewe mrembo apendeze'Tutafanyaje mkuu na Sisi ndio wasaka tonge?? Niende kazini ili abouy ale vizuri siku hiyo au nikae nyumbani nimuone Abouy akihuzunika??
KabisaaaaNdio hivyo mkuu,kuna usemi wa utani unasema,'Teseka wewe mrembo apendeze'
Halafu kumbe ni wwHa ha ha ha
Ata kama usiponialika nitakuja tu kukutembelea..we andaa maakuli yakutoshaHalagu kumbe ni ww
Hauhitaji mualiko ww m hepuko upo utaandaa maakuli yakutosha
HahahaahaAta kama usiponialika nitakuja tu kukutembelea..we andaa maakuli yakutosha