Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Nitafika,najua sitakosea njiaHahahaaha
Hauwezi kosea pepesi sana kufikaNitafika,najua sitakosea njia
SawaHauwezi kosea pepesi sana kufika
Wapi huko nijongeeKaribu sana tule na kunywa mkuu
Ha ha ha ha tutakuwa tunapakua kwa online tuSubiria hiyo siku photo za vyakula utashiba kwa macho tu we shinda kwenye uzi wa photo na vyakula tu kule kama ujapata mualiko.
Sihitaji mwaliko wa sikukuu wa online..
Haiwezekani mambo yote yawe online tu; kuchat online, kutuma ujumbe online, ku-fake maisha online, uchumba wa online, Mapenzi ya ki-online n.k. Hapana, mengine hayaitaji online.....yanaitaji kuonana uso kwa uso ili yafanyike. Mambo ya online wakati mwingine ni dalili ya uchoyo, ubahili, mizinga n.k
ha ha ha ukiwa kule utatamani kwenda mbinguni mkuuNishakutag kule nimekuweka booked kule mapema kama mambo yataenda kombo πππ ukashuhudie watu walivyo na roho mbaya siku hiyo.
Kabisa kule watu wanadhambi sana kwanza ile misosi ni kupeana tabu tu wanataka tuishi kama wapare bhana kula kwa picha πππha ha ha ukiwa kule utatamani kwenda mbinguni mkuu