Siitaki siasa tena Part 2: Ali Karume wa kufukuzwa CCM?

Siitaki siasa tena Part 2: Ali Karume wa kufukuzwa CCM?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Ali Karume wakati wa uchaguzi uliosusiwa na CUF 2015 alimcheka marehemu Seif, na alimsema sana marehemu na hatimaye akawa waziri baada ya uchaguzi.

Hivi sasa Ali Karume kafukuzwa CCM wakati Peter Msigwa aliekuwa anawashambulia anakula kiyoyozi kizuri na neema nyingi.

Siasa siitaki tena.
 
Back
Top Bottom