MWIGIZAJI wa filamu Flora Festo Mvungi ‘Khadija' amedai kuwa amebadili dini kutoka Ukristu na kuwa Muislamu kwa mapenzi yake mwenyewe kufuatia chimbuko la familia yake upande wa mama yake mzazi, hata ilipotokea kuwa kampata mchumba mwislamu ambaye ni H. Baba haikuwa tabu kwani kiasili amelelewa katika imani hiyo kwa Bibi yake.
.
Khadija akiwa na mumewe H. Baba siku ya harusi.
H. Baba akisaini cheti cha Ndoa mbele ya mkewe Flora Mvungi.