Chizy Za kitaa
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 167
- 13
Nimesubiri kwa muda mrefu sana nikijua nitachaguliwa mpaka muda wa kuapply vyuo umepita, jana majina yametoka chaajabu jina langu halipo na ukizingatia nimekaa miaka ming sana nyumban ualimu ndo ilikuwa tegemeo kwangu,
Najiuliza why me?
Najiuliza why me?