Chizy Za kitaa
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 167
- 13
Nimesubr kwa muda mrefu sana nikijua nitachaguliwa mpaka muda wa kuapply vyuo umepita,, jana majina yametoka chaajabu jina langu halipo na ukizingatia nimekaa miaka ming sana nyumban ualimu ndo ilikuwa tegemeo kwangu,, najiuliza why me?
una elimu gani? je ulijua utaratibu wa vyuo? weka wazi kilichokukwamisha ushauriwe
ualimu ngazi cheti majina yake bado sio unakurupuka kuanzisha uzi tu kwani yaliotoka yanasomekaje!? Yapo karibuni kutoka na miaka yote ulikua wapi sasa hv c ungekua umeajiriwa wewe unawajazia wenzio wingi tu 2010 up 2014 ! What fuc* u was waitin au life limekupiga mdogo wangu!?
Majina yametoka tayari na serikali imefuta ualimu ngazi ya cheti, badala yake wameanzisha diploma ya elimu ya msingi, na sifa uwe na divishen 3.
Kama huna huna kachunge mbuzi au kakimbizane na mgambo
Majina yametoka tayari na serikali imefuta ualimu ngazi ya cheti, badala yake wameanzisha diploma ya elimu ya msingi, na sifa uwe na divishen 3.
Kama huna huna kachunge mbuzi au kakimbizane na mgambo
acha uongo ww unataka kutuambia vyuo kama murutunguru, tarime, ndala, mandaka, kabanga na vingine vingi ambavyo havijaonekana kuchagua majina mwaka huu havichukui walim? hayo majina ni kwawalioomba stahahada ya juu na stashahada ya msingi acha kuwarusha roho watu ww
kaka usijipe moyo hivyo vyuo vyote vimechukuwa stashahada ya elimu ya awali ingia necta angalia stashahada elimu ya awali vyuo vyote utaona vimebeba wanafunzi kuna demu1 amepata murutunguru na jamaa wa mwanza amepangwa tarime tc
acha uongo ww unataka kutuambia vyuo kama murutunguru, tarime, ndala, mandaka, kabanga na vingine vingi ambavyo havijaonekana kuchagua majina mwaka huu havichukui walim? hayo majina ni kwawalioomba stahahada ya juu na stashahada ya msingi acha kuwarusha roho watu ww
nimehitimu 4m4 2010 nilipata dv 4 ya points 26,mwaka huu nikaomba ualimu ngazi ya chet majbu yametoka cjachaguliwa npo hoi sana,,cjui la kufanya