Wakuu JF inaweza ikafufua matumaini yangu, baada yakukosa kuchaguliwa ualimu. Hivyo basi naomba mwongozo wenu.
(1)vyuo vyamifugo wameshaanza masomo? kwa vya selikali ada ni sh ngap?
(2)vyuo vyamali asili vinaitajisifa zipi? na adazao ni sh ngp?
kwamnaofahamu njooni.