Princ
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 280
- 90
Nikiwa shule ya msingi ilikuwa mwalimu akiingia darasani namuona kama anakuja kucheza mpira nakumbuka miaka ya 2006 enzi za akina morison. Asa siku moja nikiwa bado sijaamka kengele ikagongwa ile kuwahi namba tu daaaaah.....ad leo najuta
Kumbe kuna mtu alikuwa anapiga chabo.....iliniumaje.... Sema sijamuona kunajamaa alinitext kuwa....oyaaa cheki mvua inakaribia kunyesha. Nilipotoka nje kumbe ilikuwa bado usiku daaah....nika anua nguo zangu na kwenda kulala.
Sema sitasahau kabisa ile siku.
NB:
Kichwa chepesi tu ndo utaelewa "2100 akili"
Kumbe kuna mtu alikuwa anapiga chabo.....iliniumaje.... Sema sijamuona kunajamaa alinitext kuwa....oyaaa cheki mvua inakaribia kunyesha. Nilipotoka nje kumbe ilikuwa bado usiku daaah....nika anua nguo zangu na kwenda kulala.
Sema sitasahau kabisa ile siku.
NB:
Kichwa chepesi tu ndo utaelewa "2100 akili"