Sijaelewa mantiki ya spika wa Tanzania kupongeza bunge letu kwa kupeperusha shughuli zake ilhali kwao huko wamebana

Sijaelewa mantiki ya spika wa Tanzania kupongeza bunge letu kwa kupeperusha shughuli zake ilhali kwao huko wamebana

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Leo nilikua natazama shughuli za bunge letu, ambapo spika wa Tanzania alialikwa kama mgeni muheshimiwa, na wakati wa hotuba yake akawa anapongeza bunge letu kwa jinsi huwa linapeperusha shughuli zake moja kwa moja kwenye runinga, na nijuavyo huwa naona Watanzania humu kwenye mitandao wakilalamika kwamba kwao huko hilo halipo.

Sijaelewa kwanini upongeze kuhusu kitu ambacho wewe kwako umekikataza.
 
Huyo nae kilaza tu, yaani saahizi baada ya kudhibiti media, upinzani,raia, mikutano ya kisiasa, ndio anatamani bunge liende live???ila mwanzoni walivyozima hakuongea coz walibanwa na waliishiwa point na lilizimwa kipindi ule msemo was goli LA mkono umeanza la sivyo wangepigwa risasi wengi.Aende zake huko utawala huu nao bora upite.
 
Reasoning is very important. Ukiweza kufikiria mambo kwa undani na kuyadadavua vizuri wewe ni Genius. Ule ni ujumbe kwa mkuu wa nchi na kiuongozi mkuu wa CCM kwamba bunge live ni moja ya kuonesha ukomavu katika democrasia kwa sababu ni haki ya kikatiba kuweka mambo wazi bila uficho wowote ili wananchi wapate kuona na kupata taarifa ya mambo yanayoongelewa huko bungeni.
 
Reasoning is very important. Ukiweza kufikiria mambo kwa undani na kuyadadavua vizuri wewe ni Genius. Ule ni ujumbe kwa mkuu wa nchi na kiuongozi mkuu wa CCM kwamba bunge live ni moja ya kuonesha ukomavu katika democrasia kwa sababu ni haki ya kikatiba kuweka mambo wazi bila uficho wowote ili wananchi wapate kuona na kupata taarifa ya mambo yanayoongelewa huko bungeni.
Yaani mkubwa ukimwambia mambo ya democrasia anasema umetumwa na unatumika na mabepari hataki kusikia hilo neno, unaona mpaka sasa mkurugenzi wa tume ya haki za minadamu cjui kama alishateuliwa?
 
Kwani bunge la Tanzania siyo Live!? Mbona lipo live.
 
Nishasahau kama kuna kitu kinaitwa bunge hapa Tanzania.
 
huyo hajielewi

na hakawii kuja kusema amenukuliwa vibaya

halafu na nyie 'manyangau' mmekosa wa kumwalika au MNA lengo LA kumzalilisha kiaina.!?
 
Back
Top Bottom