Habari zenu wadau, mie nilichaguliwa kidato cha tano shule ya machame sasa mzazi wangu amejaribu kunitafutia uhamisho kwenda jagwani kwasababu ya afya yangu[nina pumu]na pia umbali wa shule , sasa ameenda wizarani mara ya tano sasa na kupeleka barua lakini hamna progress yeyote , na huko wizarani wamemwambia atajibiwa baada ya wiki moja na shule zimefunguliwa tangu tarehe 12 naomba ushauri wenu nifanye nini niende tu huko machame au nisubiri tena wiki mmoja