Habari zenu wadau, mie nilichaguliwa kidato cha tano shule ya machame sasa mzazi wangu amejaribu kunitafutia uhamisho kwenda jagwani kwasababu ya afya yangu[nina pumu]na pia umbali wa shule , sasa ameenda wizarani mara ya tano sasa na kupeleka barua lakini hamna progress yeyote , na huko wizarani wamemwambia atajibiwa baada ya wiki moja na shule zimefunguliwa tangu tarehe 12 naomba ushauri wenu nifanye nini niende tu huko machame au nisubiri tena wiki mmoja
Asante kwa ushauri wako , na pia nawaza labda nianze tution kwa sasa ili angalau niweze kwenda sawa na wenzangu waliopo shule1st of,conglats 4 passing th exams nd 4 ur selection too! Cjajua umechaguliwa combo gan ila regardless ni Arts,business o science kuwa nyumbani mpaka mda huu ingali wenzako wanaendelea na masomo c hali nzuri!! Kama unaona afya yako haiwezi kabisa kukuruhusu kusoma ulipopangwa basi endelea kujaribu uhamisho,ila kama unaweza kwenda nakushauri nenda now,maana nilichogundua in Adv education katika shule za serikali shule haina influence yeyote na matokeo ya m2! Aliepata 1 akiwa kibaha atapata hiyo hiyo shule yeyote,na aliyepata 4 kwingine atapata hiyo hiyo hata kibaha!TRUST ME KWA GOV SCHOOLS,HIGH LEVEL NDO ILIVYO PIGA UA!!
Hapana kaka sina nia hiyo ila tu nahofia kupata asthma attack nikiwa sehemu ya baridi na sina ndugu yeyote wakaribu machameNenda huko machame tu bi dada...tatzo lako unataka ubaki dar ili upate muda wa kujirusha!
ina maana maraim wewe ukipata nafasi ya kwenda kusoma ulaya kwenye baridi usikokuwa na ndugu hutaenda? Usipende kudeka nenda shule maisha ya home yapo tu. wala hufi kwa kwenda kusoa huko.Hapana kaka sina nia hiyo ila tu nahofia kupata asthma attack nikiwa sehemu ya baridi na sina ndugu yeyote wakaribu machame
Hapana kaka sina nia hiyo ila tu nahofia kupata asthma attack nikiwa sehemu ya baridi na sina ndugu yeyote wakaribu machame
Asanteni wote kwa ushauri wenu , ni bora nikajaribu yakinishinda nitaomba uhamisho nawashukuru wote waliochagia nikifika shule nitawajulisha thanks
senetor mwache asomenikija moshi mwezi wa 7 ntakua mtu wako wa karibu mariam,thawa?
Habari zenu wadau, mie nilichaguliwa kidato cha tano shule ya machame sasa mzazi wangu amejaribu kunitafutia uhamisho kwenda jagwani kwasababu ya afya yangu[nina pumu]na pia umbali wa shule , sasa ameenda wizarani mara ya tano sasa na kupeleka barua lakini hamna progress yeyote , na huko wizarani wamemwambia atajibiwa baada ya wiki moja na shule zimefunguliwa tangu tarehe 12 naomba ushauri wenu nifanye nini niende tu huko machame au nisubiri tena wiki mmoja