sijampata bado!

sijampata bado!

Pquite

Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
31
Reaction score
11
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
 
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
ulimtafuta lini, na sasa unaturudishia fb kwamba hujampata?
wewe kwani ulikuwa unamtafuta mpenzi yupi na yukoje tukusaidie kumtafuta
lakini wewe ni nani?
 
Nawewe bhana, yani domo limekua zito namna hiyo.
Likaze domo hilo upate unachohitaji.
 
Wewe ni jinsia ipi? Na unamtafuta mpenzi wa jinsia gani? Na ulikuwa unamtafutaje mpaka ukafikia hatua ya kusema haujampata? Isije kuwa ulikuwa unamtafuta kama mtu anayetafuta funguo iliyopotea chumbani!
 
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.

Hiki ndio kizazi cha leo bhana!!
6 km 9, 3 km 8, duuu ilimradi vuluvulu!!
Haya bhana subiri utampata, endelea kumtafuta na fb, tweeter, jf love connect, etc etc etc au kwenye vituo vya mabasi ubungo, ama vituo vya daladala, ila naona km mlimani city panalipa hv, embu mp wa kishua akusaidie, ila usije ukaombwa vocha ya jero halafu ukamatafuta mwanasheria wako
(ni utani tu!!)
Ahsante!!
 
Wewe ni jinsia ipi? Na unamtafuta mpenzi wa jinsia gani? Na ulikuwa unamtafutaje mpaka ukafikia hatua ya kusema haujampata? Isije kuwa ulikuwa unamtafuta kama mtu anayetafuta funguo iliyopotea chumbani!

ni msichana 26 nilishatuma post wakat fulani humu jf! yakuwa natafuta mchumba wa dhat! bt waliojitokeza siwale niliowaitaji! so kama m2 yupo seliosly ani pm taf!
 
Utampata tuu usiwe na haraka..!

Haya mambo hayataki haraka kabisa..

Endelea kumuomba Mungu utafanikiwa.. Kila la heri ..!
 
ni msichana 26 nilishatuma post wakat fulani humu jf! yakuwa natafuta mchumba wa dhat! bt waliojitokeza siwale niliowaitaji! so kama m2 yupo seliosly ani pm taf!

Njia rahisi ya kupata mchumba ni kujiheshimu, kujithamini na kisha kujiamini huku ukifanya kazi kwa bidii na kumtanguliza Mungu ktk kila ufanyalo. Unatakiwa pia kuna na msimamo na kuwa makini na watu wanaojitokeza kwa kuwapa muda na kuchunguza mienendo na kauli zao. With time, Mungu atakupatia wa kukufaa.

By the way, hao waliojotokeza walikuwa na kasoro gani? Au unahitaji wa aina gani hasa? Awe na sifa gani? Maana kama wamejitokeza na wewe unaona hawajafikia matarajio yako maana yake si kwamba haujampata, ila haujampata anayefikia viwango vyako. Hivyo weka viwangi vyako hadharani wajaribu tena, ingawa siamini sana kama hii ni njia sahihi sana ya kufikia malengo.
 
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.

Naomba ni PM nahisi naweza kukufaa na huko ndo tutapeana cv na kuona Kama tunaweza kuwa compatible! Kwa sasa Naomnaomba niishie hapo. Am a Christian, aged 31, gvt employee, based in Dar, never married but seriously searching,.....!
 
Ukimtafuta yule ambaye kila sifa unayotaka lazima awe nayo basi itakugharimu uhai wako wote.
Wakubali walivyo utashangaa jinsi mtakavyoendana baadae
 
plz am so serious nipo udsm chuo miaka 25 mwaka 1 so mbaya ila napenda tuwasliane ktk fb at nedson kashaija or 0763463409
 
Back
Top Bottom