ulimtafuta lini, na sasa unaturudishia fb kwamba hujampata?hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
Wewe ni jinsia ipi? Na unamtafuta mpenzi wa jinsia gani? Na ulikuwa unamtafutaje mpaka ukafikia hatua ya kusema haujampata? Isije kuwa ulikuwa unamtafuta kama mtu anayetafuta funguo iliyopotea chumbani!
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
ni msichana 26 nilishatuma post wakat fulani humu jf! yakuwa natafuta mchumba wa dhat! bt waliojitokeza siwale niliowaitaji! so kama m2 yupo seliosly ani pm taf!
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.