Sijampata wa kunimalizia hamu ya ngono

Tatizo lako dogo unataka ufikishwe wakati mademu wenyewe unapata wakuvizia,ambao bao moja tu wanataka kuwahi kurudi kwa😵a ndio utafikishwa kileleni.
 

:A S shade::A S shade: jamani humu ndani mnanivunjaga mbavu sana
 
Halafu mtu anajua kabisa alichokianzisha ni utumbo mtupu then anaingia mitini...
 
Kula mkono chali wangu, Yaani usiku kucha mpaka asubuhi uje uniambie kama una hamu tena.
 
Una kidudu kidogo ndo mana hawataki uendelee!!
 
Mbona umeitupa JF Doctor! sikuhizi jukwaa linashuka thamani kwa thread za kipumbavu kama hizi... peleka huu upuuzi jukwaa la mwisho kule...
 
Pole but ongea na mpenz wako na umwambie ukwel yy ndio wakukusaidia. Kuwa muwazi kwake.
 
Jamani kwa mtindo huu hawezi kusaidika, vigongo vimezidi hata hapumui anapewa kigongo kingine dah! sio uungwana WanaJF. kwanza si mnaona umri wake na isitoshe anaonekana anahitaji ushauri wa kitaalam la sivyo ukimwi utammaliza.
Sasa kama bado upo mimi nakushauri jitahidi kuhudhuria ibada usikose hata kipindi kimoja na fanya sala sana. Utaona matokeo ndani ya wiki kama mbili tu. utakuwa umepona kabisa na tayari Baba wa familia mtarajiwa. Nafikiri umenielewa tena usiogope unapokwenda ibadani shika kitabu cha Mungu hadharani kijana. Utaniambia matokeo
 


We si mvulana ni mwanaume.
 
Kwahiyo unataka mwanaume wa kukuridhisha wewe inaonekana wanawake unawachezea ngoja dawa yako itapatikana kwani mshahara wa uzizi ni mauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…