Uchaguzi 2020 Sijamsikia Mgombea Urais mwenye sera hizi

Uchaguzi 2020 Sijamsikia Mgombea Urais mwenye sera hizi

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2016
Posts
2,668
Reaction score
3,751
Ningetamani sana kama ningemsikia mgombea uraisi mwenye Sera kama vile:

. Kuweka wazi mshahara na marupurupu atakayojilipa
. Kusema atapunguza mshahara na posho zake
. Kupunguza ukubwa wa serikali
. Kupunguza idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge hasa viti maalum maana hawapo huru kutoa maoni yao has a yale yanaenda kinyume na vyama vyao.
. Kuwalipa mafao watumishi hewa
. Kurekebisha sheria ya fao la kujitoa
 
Back
Top Bottom