Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jikite kwenye mada killerUlitaka aandike simba sc yapata ushindi Botswana
Kawaida. Wakati mwingine ni vigumu kuekewa akili kubwa kwa wewe mwenye akili ndigo, najua kadri ya muda unavyoenda utaelewa vizuri sana japo itachukua mudaKwenye ile gem ya Yanga vs al ahly, naona mwandishi anaandika eti Yanga amembana Al Ahly!
Aisee like seriously?
Hivi nani alipaswa kubanwa kati ya mwenyeji na mgeni? kiutaratibu wa kisoka..View attachment 2833704
Utaelewa tu ......we punguza Ujinga tu Kichwani.Kwenye ile gem ya Yanga vs al ahly, naona mwandishi anaandika eti Yanga amembana Al Ahly!
Aisee like seriously?
Hivi nani alipaswa kubanwa kati ya mwenyeji na mgeni? kiutaratibu wa kisoka..View attachment 2833704
Ni sahihi alivyoandika, maana Yanga ilitazamiwa zaidi kuja kupoteza mechi kuliko kupata sare au kushinda. Kitendo cha Yanga kupata sare ni sawa kabisa na kusema imeibana AhlyKwenye ile gem ya Yanga vs al ahly, naona mwandishi anaandika eti Yanga amembana Al Ahly!
Aisee like seriously?
Hivi nani alipaswa kubanwa kati ya mwenyeji na mgeni? kiutaratibu wa kisoka..View attachment 2833704
Unateseka ukiwa wapi ndugu?Kwenye ile gem ya Yanga vs al ahly, naona mwandishi anaandika eti Yanga amembana Al Ahly!
Aisee like seriously?
Hivi nani alipaswa kubanwa kati ya mwenyeji na mgeni? kiutaratibu wa kisoka..View attachment 2833704
na mtaendelea kubanaUlitaka aandike simba sc yapata ushindi Botswana
Soma uelewe mada usikurupuke kujibu.Ulitaka aandike simba sc yapata ushindi Botswana
Ni dhana potofu kuwa ilitazamiwa Yanga afungwe. Zile zama za Waarabu kuziona timu zetu ni daraja zimekwisha sasa hivi tunatoana nao jasho. Japo kuwa mimi ni Simba lakini kabla ya ile mechi nilitazamia Yanga angemfunga Al Ahly.Ni sahihi alivyoandika, maana Yanga ilitazamiwa zaidi kuja kupoteza mechi kuliko kupata sare au kushinda. Kitendo cha Yanga kupata sare ni sawa kabisa na kusema imeibana Ahly
Matazamio makubwa ya Al Ahly kushinda sio kwa sababu ya Uarabu wao, bali kwa sababu ya wastani mzuri wa muendelezo (consistence) ya matokeo yao ya hivi karibuni. Wazee wa kuweka mzigo hapa wanaelewa vizuri. Hata katika predictions za betting, probability kubwa ilikuwa ni Ahly kushindaNi dhana potofu kuwa ilitazamiwa Yanga afungwe. Zile zama za Waarabu kuziona timu zetu ni daraja zimekwisha sasa hivi tunatoana nao jasho. Japo kuwa mimi ni Simba lakini kabla ya ile mechi nilitazamia Yanga angemfunga Al Ahly.
Ulitatizika kama mimi ni moja ya wale wandishi wetu makanjanja!Kwenye ile gem ya Yanga vs al ahly, naona mwandishi anaandika eti Yanga amembana Al Ahly!
Aisee like seriously?
Hivi nani alipaswa kubanwa kati ya mwenyeji na mgeni? kiutaratibu wa kisoka..View attachment 2833704
Ndio maana mkapigwa [emoji2772]Yanga waliamini wana kikosi bora africa, lkn sasa wamegundua kikosi chao ni cha nbc tu.
Na wewe umeelewa nilicho andika au umekurupuka kujibuSoma uelewe mada usikurupuke kujibu.