Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahahah jamaa wananishangaza sanaWewe Sasa mwili wako umeanza kuchezewa na umekubali,ukioa una kuwa mwili mmmja na mwanamke imagine unapigwa mikuyege ,vielement vya ushoga vinakuandama halafu hushutuki unaona sawa tuu mkeo kuipeleka peleke mwili yako Kila mahali,Sasa wewe ni chichwa maamuzi ni yako
Masikiniiiii ...Taifa kimejaa wanaume wazembe, wanaume walouacha Uanaume wao 😂😂Huwezi kumwelewa mwanamke katu...
Kwakua wao ndio chanzo cha hiyo misongo ya mawazo,homa kali,vifo,jela,uchawi nk.
KATAA NDOA,KATAA UTUMWA
Kikoba gani cha kukodi mpaka hoteli watu walale hukohuko?, Kuna starehe au raha gani ya mwanandoa kuona fahari ya kumuacha mme/mke wake "eti anaenda kwenye sherehe ya kuvunja kikoba?". Siku hiyo ya kikoba Mambo yake yaligoma na mchepuko wake ndio maana kaja na trip ya mikumi, muulize nani anaratibu hiyo trip hapo kazini kwake?, Je watu nje ya ofisi wanaruhusiwa kwenda?, Fanya upelelezi kwa wafanyakazi wenzake kama kuna Jambo Kama hili? Na ukikuta ni kweli angalia main organize wa trip ni ke/me hapo utakuwa umepata jibu sahihi Ila.... Huyo mke anapasuka kwa jamaa fulani ndio maana anahangaika kutafuta nafasi.
Muwe mnawashauri watoto wenu Hawa kiume ambao Kwa Sasa sio wanaume .Jipeni moyo wanangu.
Hapa ndio umenena.... Hata kama anachepuka haitakiwi ikuumize na kuathiri maisha yako. Wewe jiridhishe kama ni kweli umwambie then umpe uhuru wote. Atasanda tu.Punguza pressure mkuu, mruhusu aende
Ukweli mchungu.Huyo mke anapasuka kwa jamaa fulani ndio maana anahangaika kutafuta nafasi.
Mamw Jay hajambo?Sahii KABISA,
Ni sawa na kujilisha upepo
Unaiacha ndoa yako ilodumu miaka kumi na saba kwa sabb za kipumbavu kias hicho.Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!
Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!
Nakaribisha ushauri
Majibu yako simple mpk raha!!😁Vumilieni tu,
Interesting.Kuna kisa kimoja kilitokea ulaya lakini. Mwanaume anaishi na mkewe na mtoto m'moja. Siku moja yule mwanamke wakaja rafiki zake wa kike ambao ni mashost wa muda mrefu sana tokea enzi za utoto.
Ni wadada wanaopenda sana usichana na hadi wakati huo wameshaingia umri wa ndoa walikuwa bado hawajaolewa wanaishi maisha ya kuwa huru kufanya lolote na kudate wanaetaka.
Sasa siku moja walikuja vijana ambao walikuwa wanajuana na wale wadada, wakawatoa out ili wakale bata. Yule dada akamwambia mume wake kuwa anamtoko na wenzake, mume wake akamuuliza kuwa wanaenda wapi na occasion ni ipi yaani mtoko unahusiana na kitu gani, birthday, dinner, shopping au nini? Mwanamke hakuwa na jibu zaidi ya kusema yeye na mashosti zake wanaenda onana na rafiki wengine so ni good time tu.
Jamaa akamwambia hajapenda hiyo idea mwanamke akang'aka kuwa atakwenda na yeye sio mtoto mdogo kuamuliwa.
Chizi wewe😂Yani mkuu umeichakata papuchi yake kwa miaka 17 lakini Bado unaionea wivu hivyo¡ Kweli papuchi ni nouma.
Mwanangu unampandisha jazba mwana!!😂😂😂😂😂Oyaaa nmemwambia,... Demu anaenda kutombwa .. na Ile siku anaahirishaz ni kwamba ,mtombaji wakee alipata dharula ya kikazi, Ivo akaona asitishe zoezi.
Sasa mtombaji kaona ampeleke Mikumi na bahati mbaya sana, hamna Cha mikumi Wala nninatafutwa nafasi ya kutombwa usiku kucha kwakua mtombaaji wake Kila siku anamuimiza "NIMECHOKA kukutomba mchana, nataka tulale usiku, kama hutaki nikuache".
Sasa hata ukimkataza na kaamua kugongwa unadhani itazuia nini??Et kama bado unampenda mruhusu aendee na usimuhoji.
Hivo nyie mmeoa kweli na ukatoa Mahari??
Au ni jamaa tu mnaishi mjini, ukipata Dem ukapiga, siku imeenda??.
Umeoaaa???? Umeoa kweli???.
Ampe uhuru wa nini? Hapo amwache kabisaUkimchunguza nyuki hutakula asali. Mwanamke huyo anakushemu sana sasa usimbane mpaka akakuonyesha makucha yake. We mwache aende kokote anakotaka na kama anachepuka jua ameweka heshima sana kutumia huo utaratibu wa kukuaga. Na ye ni binadamu atajirudi tu ila ukidhan unaweza kumdhibiti utakosa familia na utatesa watoto. Binadamu ndivyo tulivyo. Unakuta una nguo nzur lakn unataman nyingne mpya, hata wewe ushapita na wapya wangapi ndan ya miaka 17?
Chief kama ndio tabia yako usijumuishe wote.Haaaaa kwakweli nmeamin kwann Sasa wanaume nao mnapambana kuliwa ndogo.
Ampige chini malaya huyoKwa hiyo unamshauri vipi mleta mada?