Sijamuelewa Mrisho Mpoto katika wimbo wake wa Waite

Sijamuelewa Mrisho Mpoto katika wimbo wake wa Waite

Free ideas

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
3,497
Reaction score
2,026
Kiukweli sijamuelewa Mrisho Mpoto na wimbo wake waite, maana sijajua analenga nini anaposema waite, wakalishe chini na kwamba waambie wao hawamo.

Alieyeelewa naomba anichambulie wimbo huo.

Nawasilisha
 
Kiukweli sijamuelewa Mrisho Mpoto na wimbo wake waite, maana sijajua analenga nini anaposema waite, wakalishe chini na kwamba waambie wao hawamo.

Alieyeelewa naomba anichambulie wimbo huo.

Nawasilisha

kiukweli binafsi sijahawi kuelewa wimbo wake hata mmoja toka nianze kumsikiliza, ngoja waje wanaomuelewaga wakueleweshe
 
ukitaka kujua mana yake toa kama test kwa wanafunzi wa form four
 
kiukweli binafsi sijahawi kuelewa wimbo wake hata mmoja toka nianze kumsikiliza, ngoja waje wanaomuelewaga wakueleweshe

mi niliuelewa salam zangu pekee baada ya hapo ni kichina kwakwenda mbele
 
i knew him personally,he was one of the nicest and funniest men out there,its so sad. Jana tulikuwa kwenye msiba huko Tegeta kwa mwanawe.Leo itakuwepo misa saa saba St Peters church,mazishi ni Iringa jumatano...Mungu ailaze pema peponi roho ya mzee wetu

Ok sawa ban tymekuelewa
 
huo wito kwa mzee kwa kaya awaite watendaj wake awatoe hof then wadiscuss tatzo nn...
 
Awaite mawaziri wake maana wameshamwambia ni mizigo.. Afu awambie mapungufu yao..
 
Nyimbo zake zina ujumbe mzito, sema hadi uelewe may u concentrate siku nzima
 
Muungwana hanuni kwa mashavu bali hununa moyon, Napenda sana nyimbo zake zipo kiafrika zaidi.
 
Waite wakalishe chini,wambie wao hawamo japo nao walikula,
 
Back
Top Bottom