Sijamuelewa Mzee wa kaya

Sijamuelewa Mzee wa kaya

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917


Msikilize Mkulu hapa dk ya 11.40 anasema we want to export gas and import Urea! Kwa sie tunaojua potential za gas basi hapa tumeula wa chuya maana kwa maneno yake haya ina maana hamna mikakati ya kufanya value addition kwa gas yety maana kutengeneza mbolea Urea si kitu kigumu na inaweza tengenezwa humu humu ndani! naomba iwe hakumaanisha hicho alichosema, cha ajabu amepigiwa makofi!
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkuu hujamwelewa au hujasikia vizuri? alichosema ni kwamba "we don't want to go to the point that we export gas and import urea".
 
Kweli mkuu hujamwelewa au hujasikia vizuri? alichosema ni kwamba "we don't want to go to the point that we export gas and import urea".
asante sijaskia vizuri
 
Back
Top Bottom