simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 485
Ndugu wanajamvi,
Ni mda sanaa sijamwona huyu mwana JF mwenzetu anatumia jina la " TINDO".
Tuko tofauti kiitikadi ya uchama lakini ni mtu ambaye naheshimu sana mawazo yake hasa kwenye jukwa la siasa. Waga anajenga hoja vizuri sanaa na ana ushawishi mkubwa kwa hoja zake lakini ni mda sasa sijaona bandiko au comments zake ni nini kimemsibu? Mwenye mawasiliano naye atujuze basi.
Ni mda sanaa sijamwona huyu mwana JF mwenzetu anatumia jina la " TINDO".
Tuko tofauti kiitikadi ya uchama lakini ni mtu ambaye naheshimu sana mawazo yake hasa kwenye jukwa la siasa. Waga anajenga hoja vizuri sanaa na ana ushawishi mkubwa kwa hoja zake lakini ni mda sasa sijaona bandiko au comments zake ni nini kimemsibu? Mwenye mawasiliano naye atujuze basi.